Mkutano wa ACT Karatu

Mkutano wa ACT Karatu

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,564
Reaction score
8,876
Nilikuwa napita zangu nikakutana na huu mkusanyiko.
attachment.php
 

Attachments

  • 1428837681126.jpg
    1428837681126.jpg
    121.4 KB · Views: 5,166
Ayatollah Zuberi Kabwe hayupo. Zitto alishatoa maelekezo yeye tu ndio atatakiwa kufanya mikutano mpaka ngazi ya kijiji
 
Hayupo na hao unao waona hapo wamefanya kupewa pesa waje kwenye mkutano. Vijana wa toyo ni buku 3 hivyo vijana wengi wamegoma pesa ndogo hii ni kwa mujibu wa Dereva wa toyo
 
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT
 
Nimepita hapo kwa kifupi ni aibu ya karine. Kama vipu tupia picha. Watu wamewashitukia wanajua lengo lenu ni lipi
 
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT
nyie mlionesha?
 
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT

Alafu wasivyo na aibu wanamtaka awape maelezo ya mapato naatumizi kana kwamba wanampa ruzuku yakuendesha kanisa lake,wanaacha kudai vitu vyamsingi wanakimbizana navitu vya hovyo hovyo tu
 
hicho kikao cha harusi nani anaolewa hapo sijaelewa kabisa.
 
Back
Top Bottom