Nilikuwa napita zangu nikakutana na huu mkusanyiko.
mkuu sera safi wakati wa kujenga na kuimarisha chama.ACT chama makini tanzania kina mkutano mkubwa leo hi karatu mjini kwa uzinduzi karibn mpate sera safi kutoka act
nyie mlionesha?Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT
nyie mlionesha?
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT
Hawa -------- heri wakauze migebuka tu
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT
Nilikuwa napita zangu nikakutana na huu mkusanyiko.
![]()