Mkurugezi wa wilaya ya Arusha mjini ameingia mchecheto wa kilicho jitokeza Arusha tarehe 5-1-2011, baada ya kuamuru wenyekiti wote wa vitongoji kufanya mikutano na wakazi wa vitongoji vyao ili kujua mapendekezo yao.
Na mambo muhimu yaliyokuwa yakitakiwa kutolewa majibu, ni nini kifanyike ili kuleta utulivu Arusha mjini.
Katika kikao kilicho fanyika kwenye kata ya Sombetini kitongoji cha simanjiro, kulitokea kutokuelewana baada ya wakazi waliojitokeza kwenye mkutano huo ulioitishwa juzi jioni na kufanyika jana, kutaka kujua:
- uhalali wa mwenyekiti kutumwa na mtu wanayemtuhumu kuwa yeye ndiyo chanzo cha maafa ya Arusha, kuja kuwa hoji nakumpelekea watakao zungumza yeye mwenyewe tena na kwanini hakukuwa na mwakilishi wa vyama husika.
- pia walitaka kujua kwanza kwanini mkutano huo ulifanyika vichochoroni tofauti na ilivyo zoeleka
- watakuwa na uhakika gani walicho kiongea ndisho kitakacho pelekwa sehemu husika.
Mwenye kiti huyo aliwatuliza na kuwa ahidi watakayo yasema ndiyo yatapelekwa na yataenda kugongwa mhuri na nakala kurudishwa kwa mabalozi.
Ndipo kikao kikanza: karibu kila aliyechangia alitoa mapendekezo kuwa uchanguzi ufanyike upya na wafuatao waondolewe Arusha
Mkurugezi,
RPC
OCD.
Ndipo arusha itakalika kwa amani.
Naomba kuwakilisha
Mtu alihuzulia mkutano huu na nimeongea na baadhi ya wenyekiti wa vitogoji vya manispaa ya arusha amezibitisha kuwa na agizo hilo kutoka kwa mkurugenzi pia niliongea na msemaji wa kambi ya upinzania wa Arusha ambae nae ni mwenyekiti wa kitongoji anae alisibitisha kupokea angizo hilo...source please
kuna tofauti ya tamko la viongozi wa CDM na msimamo wa wana-Arusha...kama waliyapuuza basi wananchi kama watasisitiza hawatakuwa na budi kuya fanyikakazi...Na mie ningekua mshiriki wa mkutano huo basi ningependekeza hivyo hivyo! Nawaunga mkono kwa mapendekezo yao! ila hayo mapendekezo yalishatolewa na uongozi wa chadema wakati wa ibada za kuwaombea marehemu pale Arusha mjini. Hakuna yaliyofanyika, sijui kama hayo yataleta matunda! Kama viongozi wa serikali kitaifa wanaunga mkono yale mauaji, hakuna jipya kwenye maoni ya wanalala hoi.
Of course yeye mkurugenzi ni miongoni mwa watuhumiwa wa mauaji yale. Alishiriki kuibeba CCM akiwa kama msimamizi wa uchaguzi wa Meya, hiyo dhambi itamfuata mpaka kaburini, tena namwonea huruma kwani CCM huenda wakamtosa baada ya mambo yao kuwa mazuri. Mimi nashangazwa na watumishi wa Umma wanaokubali kutumiwa kwa maslahi ya CCM, ni uoga na kutojiamini tu. CCM ikianguka yeye atakuwa wapi. Wito kwa watumishi wengine wa Umma - amkeni CCM inaelekea mwisho hebu tendeni haki. Tanganyika inaelekea ktk ukombozi
Nadhani CCM hwawatambui vizuri wakazi wa mji wa Arusha ni watu wa aina gani hasa.
Nadhani CCM hwawatambui vizuri wakazi wa mji wa Arusha ni watu wa aina gani hasa.
Inasikitisha sana pale jitu zima linapokomalia kuongoza watu ambao hata hawana haja na wewe.watawala wetu wameshindwa kusoma alama za nyakati na hiyo ndo shida kubwa.
ilikuonyesha hawataki utani: baada ya mkutano huo walimuomba awasomee alichokuwa akikiandika mwenyekiti huyo asije akawa ameandika vituambavyo wao hawavisema....yaani walimubana mpaka akawa anasema wananchi tumewakosea nini kwani hata mahudhulio yakuwa hafifu yaani haijawahi kutokea, kwenye mkutano kama huo kukomea watu ambao hawakuzidi 70
kama haya ni ya kweli ni afadhali watawala waone kwamba hata wananchi nao hawako nao.
Mkurugezi wa wilaya ya Arusha mjini ameingia mchecheto wa kilicho jitokeza Arusha tarehe 5-1-2011, baada ya kuamuru wenyekiti wote wa vitongoji kufanya mikutano na wakazi wa vitongoji vyao ili kujua mapendekezo yao.
Na mambo muhimu yaliyokuwa yakitakiwa kutolewa majibu, ni nini kifanyike ili kuleta utulivu Arusha mjini.
Katika kikao kilicho fanyika kwenye kata ya Sombetini kitongoji cha simanjiro, kulitokea kutokuelewana baada ya wakazi waliojitokeza kwenye mkutano huo ulioitishwa juzi jioni na kufanyika jana, kutaka kujua:
- uhalali wa mwenyekiti kutumwa na mtu wanayemtuhumu kuwa yeye ndiyo chanzo cha maafa ya Arusha, kuja kuwa hoji nakumpelekea watakao zungumza yeye mwenyewe tena na kwanini hakukuwa na mwakilishi wa vyama husika.
- pia walitaka kujua kwanza kwanini mkutano huo ulifanyika vichochoroni tofauti na ilivyo zoeleka
- watakuwa na uhakika gani walicho kiongea ndisho kitakacho pelekwa sehemu husika.
Mwenye kiti huyo aliwatuliza na kuwa ahidi watakayo yasema ndiyo yatapelekwa na yataenda kugongwa mhuri na nakala kurudishwa kwa mabalozi.
Ndipo kikao kikanza: karibu kila aliyechangia alitoa mapendekezo kuwa uchanguzi ufanyike upya na wafuatao waondolewe Arusha
Mkurugezi,
RPC
OCD.
Ndipo arusha itakalika kwa amani.
Naomba kuwakilisha
source please
Mkurugezi wa wilaya ya Arusha mjini ameingia mchecheto wa kilicho jitokeza Arusha tarehe 5-1-2011, baada ya kuamuru wenyekiti wote wa vitongoji kufanya mikutano na wakazi wa vitongoji vyao ili kujua mapendekezo yao.
Na mambo muhimu yaliyokuwa yakitakiwa kutolewa majibu, ni nini kifanyike ili kuleta utulivu Arusha mjini.
Katika kikao kilicho fanyika kwenye kata ya Sombetini kitongoji cha simanjiro, kulitokea kutokuelewana baada ya wakazi waliojitokeza kwenye mkutano huo ulioitishwa juzi jioni na kufanyika jana, kutaka kujua:
- uhalali wa mwenyekiti kutumwa na mtu wanayemtuhumu kuwa yeye ndiyo chanzo cha maafa ya Arusha, kuja kuwa hoji nakumpelekea watakao zungumza yeye mwenyewe tena na kwanini hakukuwa na mwakilishi wa vyama husika.
- pia walitaka kujua kwanza kwanini mkutano huo ulifanyika vichochoroni tofauti na ilivyo zoeleka
- watakuwa na uhakika gani walicho kiongea ndisho kitakacho pelekwa sehemu husika.
Mwenye kiti huyo aliwatuliza na kuwa ahidi watakayo yasema ndiyo yatapelekwa na yataenda kugongwa mhuri na nakala kurudishwa kwa mabalozi.
Ndipo kikao kikanza: karibu kila aliyechangia alitoa mapendekezo kuwa uchanguzi ufanyike upya na wafuatao waondolewe Arusha
Mkurugezi,
RPC
OCD.
Ndipo arusha itakalika kwa amani.
Naomba kuwakilisha