GE2025 Mkurugenzi wa MAUWASA achukua fomu ya Ubunge Buchosa kupitia CCM

GE2025 Mkurugenzi wa MAUWASA achukua fomu ya Ubunge Buchosa kupitia CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mwanantogakulya

Senior Member
Joined
Mar 18, 2025
Posts
130
Reaction score
118
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Maswa (MAUWASA), Mhandisi Nandi Mathias James, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge wa Jimbo la Buchosa, wilayani Sengerema, mkoa wa Mwanza.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Mhandisi Nandi(kulia)alikabidhiwa fomu hiyo leo, Juni 29, 2025, majira ya saa 8:30 mchana katika Ofisi za CCM Wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza na Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Rashid Semendu.

vlcsnap-2025-06-29-15h26m16s026.png
 
Back
Top Bottom