Mkurugenzi ATCL: Dreamliner haijaharibika, tunafanya marekebisho ya kawaida. Ndege bado ipo kwenye majaribio...

Sifa za kijinga hizi! Napenda nchi yangu iwe na maendeleo ila sio kwa sifa za kijinga kama hizi kama unazoonesha. Uzalendo suo kusifia kila kitu mkuu, tujifunze kuwa na uchungu wa matumizi ya kodi zetu.
Hoja yako ni nini?

Nani amekuambia huipendi nchi yako?

Naona unaongelea uzalendo hapa kama vile tuko hapa kupambana kuwa nani ni mzalendo zaidi.

Nadhani tatizo lako ni inferiority complex.
 
Hilo silo jambo la kushangaza, wala kulifanya issue hapa JF. Emirates Airline ilipopokea Airbus 380 nane za kwanza duniani, walizisimamisha baada ya kufanya kazi kwa wiki mbili, baada ya kuonekana dosari ndogo ya umeme. Shiruka la airbus lilikuja kuyarekebisha kwa gharama zao na pia waliwalipa fidia. This is a normal thing, tutafute mengine ya kuyajengea majungu
 
Comrade
Ndege ikiwa mpya kutoka kiwandani
Huwa inafanyiwa service baada ya muda mrefu kupaa hewani na sio kuwa grounded kabisa kwa sababu ya obovu wa kifaa

Hii imekuwa grounded baada ya kuharibika kwa Mfumo wake ktk moja ya kifaa chake...

Tanzania ni zaidi ujuavyo

Rais ajaye wa awam ya 6 akifukua makaburi kuna watu itabidi WANYONGWE HADHARANI
Kwani hii ndege yetu shida yake ni nini ili ka huko wamechakachua warudishiwe mapema kabisa
 
Mimi najiuliza hivi ktk ununuaji wa kitu kipya na hasa vifaa vya siku hizi na hata gari kama unanunua kwa dealer mfano Toyota kuna warranty ya muda fulani kwa baadhi ya parts na services sasa kwa hii ndege huwa hakuna vitu kama hivi toka kwa manufacturer na hasa kitu kikiwa brand new

Na hakuna labda terms flani kwamba kitu kikiharibika nje ya lifetime fulani wanakulipa fidia au gharama zote za matengenezo?
 
Maandiko yako yanadhihirisha huna uwezo wa kujenga hoja zenye kufikirisha kwa watu wenye upeo mpana.

Tafuta wale wenye uwezo wako katika kujenga hoja.

Samahani kama nimekukwaza lakini nimejaribu kukupa ushauri ili uelewe kuwa bado ujinga na utoto ni mwingi katika akili zako.
kujenga hoja gani???

Mnatesa watanzania wenzenu bila huruma.
 
Hili dege kulipigisha jaramba za Dar, KIA na Mwanza lazima lihitaji matengenezo ya mara kwa mara.

Yaani oil hata haijazunguka kwenye maeneo yote tayari inatua wakati ndio kwaaaanza dude lilikua linajiandaa kufungua injini....
Hili nalo neno aisee
 
Kikubwa zaidi, Tanzania tuna ndege ya aina hii moja na kwa sababu hiyo ni rahisi sana kugundua kama haifanyi kazi lakini kwenye mashirika yenye ndege nyingi za aina moja huwezi kugundua kama kuna ndege inafanyiwa matengenezo.

Hata Rais wa Marekani ana ndege mbili za aina moja za Air Force One ili hata kama moja inafanyiwa marekebisho, nyingine inakuwa tayari kwa kazi. Hata Helikopta za Rais ziko mbili zinazofanana.Huwezi kujua kama ndege au helikopta imeharikiba na inafanyiwa matengenezo au la.
Point ya msingi ndege ni mbovu na inatengenezwa kwaio hata zingekua 100 bado tu tungejua kama imeharibika na inafanyiwa matengenezo mbona bombadia ilivyo haribikaga mwezi na siku zake tulijua na bombadia zilikua 2 kama sio 3 enh
 
Kikubwa zaidi, Tanzania tuna ndege ya aina hii moja na kwa sababu hiyo ni rahisi sana kugundua kama haifanyi kazi lakini kwenye mashirika yenye ndege nyingi za aina moja huwezi kugundua kama kuna ndege inafanyiwa matengenezo.

Hata Rais wa Marekani ana ndege mbili za aina moja za Air Force One ili hata kama moja inafanyiwa marekebisho, nyingine inakuwa tayari kwa kazi. Hata Helikopta za Rais ziko mbili zinazofanana.Huwezi kujua kama ndege au helikopta imeharikiba na inafanyiwa matengenezo au la.
Umesema kweli kabisa. Ndege zetu moja tu ikipata hitalafu ni rahisi kujulikana (ingizingatiwa pia kuwa ''wabaya'' wengi wamekaa standby kusambaza habari kadiri iwezekanavyo). Ila kwenye shirila lolote la ndege, ndege kuwa grounded kwa sababu ya hitilafu/service ni kitu cha kawaida kabisa. Shirika kama Ethiopian hata zikisimama ndege 5 si rahisi kujua. Jambo la maana ni kukubaliana tu kuwa service na matengenezo kwenye ndege ni jambo linaloanza tangu inapotoka kiwandani!
 
Nadhani hapa tujifunze na kujiuliza je ingekua inapiga route za mbali hapo tungerudisha nauli za watu pamoja na usumbufu. Kwa kufanya hivyo kwa ushindani wa sasa Kimataifa tayari tunakosa customers. Wahusika jifunzeni na ifanyieni kazi hii changamoto
Hata hii kutangaza kuharibika kwake kunakimbiza wateja aisee
 
Kikubwa zaidi, Tanzania tuna ndege ya aina hii moja na kwa sababu hiyo ni rahisi sana kugundua kama haifanyi kazi lakini kwenye mashirika yenye ndege nyingi za aina moja huwezi kugundua kama kuna ndege inafanyiwa matengenezo.

Hata Rais wa Marekani ana ndege mbili za aina moja za Air Force One ili hata kama moja inafanyiwa marekebisho, nyingine inakuwa tayari kwa kazi. Hata Helikopta za Rais ziko mbili zinazofanana.Huwezi kujua kama ndege au helikopta imeharikiba na inafanyiwa matengenezo au la.
Tanzania hatuna ndege moja zipo tatu ambazo ni commercial, na zingine za viongzi
 
Point ya msingi ndege ni mbovu na inatengenezwa kwaio hata zingekua 100 bado tu tungejua kama imeharibika na inafanyiwa matengenezo mbona bombadia ilivyo haribikaga mwezi na siku zake tulijua na bombadia zilikua 2 kama sio 3 enh
Yes, ndege ni mbovu na inafanyiwa matengenezo. Kuna jingine?
 
Back
Top Bottom