Mkurugenzi achafua hali ya hewa Tunduma

Mkurugenzi achafua hali ya hewa Tunduma

zyola

Member
Joined
Jun 22, 2013
Posts
16
Reaction score
2
Toka jikoni, TEO wa halmashauri ya mji wa Tunduma AIDANI MWANSHIGA akubali kuweka rehani kazi yake baada ya mhasibu wake ARTHUR KAFANABO kuchukua rushwa toka kampuni ya VIDOBA ya mkazi wa dsm kiasi cha sh. milioni kumi kama deposit ya kumpa zabuni ya ushuru wa usafi wa mazingira kwa magari yanayo ingia na kutoka nchini ktk boda ya TUNDUMA baada ya kukabidhiwa zabuni ataongezwa miloni kumi tena na jumla yake kuwa milioni 20,000,000.

ofisi ya mji wa Tunduma hapakaliki baada ya mzabuni wa kwanza na wapya walio timiza vigezo kutishia kuwaburuza mahakamani na kupinga uteuzi wa mzabuni huyo huku wakazi wa Tunduma wakitega masikio kila kona ya mji juu ya kitakacho jiri kwa nguli hao wazoefu wa rushwa miaka yote katika kuteua wazabuni mbalimbali.

nitaendelea kuwajuza kinacho jili
nawasilisha
 
pinda jee kuhusu mafisadi tuwape kipondo
Achana na Pinda, sasa hivi ni confirmed PM MPUMBAVU kuliko wote chini ya jua. Mahakama ya sheria imethibitisha hayo leo hii huko Dodoma.
 
Hakuna cha ajabu kilichofanyika huko tunduma, ni mwendelezo wa CHUKUA CHAKO MAPEMA (CCM).
 
Toka jikoni, TEO wa halmashauri ya mji wa Tunduma AIDANI MWANSHIGA akubali kuweka rehani kazi yake baada ya mhasibu wake ARTHUR KAFANABO kuchukua rushwa toka kampuni ya VIDOBA ya mkazi wa dsm kiasi cha sh. milioni kumi kama deposit ya kumpa zabuni ya ushuru wa usafi wa mazingira kwa magari yanayo ingia na kutoka nchini ktk boda ya TUNDUMA baada ya kukabidhiwa zabuni ataongezwa miloni kumi tena na jumla yake kuwa milioni 20,000,000.

ofisi ya mji wa Tunduma hapakaliki baada ya mzabuni wa kwanza na wapya walio timiza vigezo kutishia kuwaburuza mahakamani na kupinga uteuzi wa mzabuni huyo huku wakazi wa Tunduma wakitega masikio kila kona ya mji juu ya kitakacho jiri kwa nguli hao wazoefu wa rushwa miaka yote katika kuteua wazabuni mbalimbali.

nitaendelea kuwajuza kinacho jili
nawasilisha
Hu ni ujinga ulioje kuwwka rehani kazi yako kwa shilingi 20,000,000. Huyu anastahili kupigwa na mkewe.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kwani ni lazima tenda mshinde watu wa Tunduma?
Mimi sioni kosa la huyo Mkurugenzi MWANSHINGA na Mhasibu wake kwanihakuna ushahidi km kapokea rushwa na POLISI na TAKUKURU wamejaa hapo mlipo
Hbu acheni kazi ziendelee maana siku hizi kila kitu ni upinzani tu
Ukikosa huku unakuwa mpinzani wa Tender, timizeni Masharti na madiwani wapo km VIDOBA atavurunda atatolewa kwani huwa ni kwa muda wa majaribio na lazima atangulize hela kabla ya kuanza kazi ili azrejeshe alizozitanguliza
 
Kwani ni lazima tenda mshinde watu wa Tunduma?
Mimi sioni kosa la huyo Mkurugenzi MWANSHINGA na Mhasibu wake kwanihakuna ushahidi km kapokea rushwa na POLISI na TAKUKURU wamejaa hapo mlipo
Hbu acheni kazi ziendelee maana siku hizi kila kitu ni upinzani tu
Ukikosa huku unakuwa mpinzani wa Tender, timizeni Masharti na madiwani wapo km VIDOBA atavurunda atatolewa kwani huwa ni kwa muda wa majaribio na lazima atangulize hela kabla ya kuanza kazi ili azrejeshe alizozitanguliza





mkuu, kuchukuwa rushwa na kupokea rushwa siyo kosa kwa uelewa wako ?. kuhusu polisi na takukuru ni kesi ngapi zinazo wahusu mafisadi zilizo fikishwa mahakamani ?. wenye uelewa finyu mtuu akisema ukweli humwita mpinzani . nahisi ulikurupuka kupositi hukusoma na kuelewa kuhusu masharti, vigezo walisha timiza
 
mkuu, kuchukuwa rrushwa na kupokea rushwa siyo kosa kwa uelewa wako ?. kuhusu polisi na takukuru ni kesi ngapi zinazo wahusu mafisadi zilizo fikishwa mahakamani ?. wenye uelewa finyu mtuu akisema ukweli humwita mpinzani . nahisi ulikurupuka kupositi hukusoma na kuelewa kuhusu masharti, vigezo walisha timiza
Inawezekana wewe ni mmoja ya watu waliokosa zabuni kwa kutokuwa na sifa...Na baada ya kukosa umeamua tu kuwachafua wenzio kwa kisingizio cha rushwa....

Kwa kawaida katika zabuni kuna utaratibu wa mtu kukata rufaa PPRA kama unaona kuna taratibu zilikiukwa katika kutoa hiyo zabuni....Ni bora ungeenda PPRA na kukaata rufaa ama kwenda TAKUKURU kumripoti huyo Mkurugenzi wa mji ili haki itendeke badaka ya kuja JF na kutaka sympathy ya members
 
Toka jikoni, TEO wa halmashauri ya mji wa Tunduma AIDANI MWANSHIGA akubali kuweka rehani kazi yake baada ya mhasibu wake ARTHUR KAFANABO kuchukua rushwa toka kampuni ya VIDOBA ya mkazi wa dsm kiasi cha sh. milioni kumi kama deposit ya kumpa zabuni ya ushuru wa usafi wa mazingira kwa magari yanayo ingia na kutoka nchini ktk boda ya TUNDUMA baada ya kukabidhiwa zabuni ataongezwa miloni kumi tena na jumla yake kuwa milioni 20,000,000.

ofisi ya mji wa Tunduma hapakaliki baada ya mzabuni wa kwanza na wapya walio timiza vigezo kutishia kuwaburuza mahakamani na kupinga uteuzi wa mzabuni huyo huku wakazi wa Tunduma wakitega masikio kila kona ya mji juu ya kitakacho jiri kwa nguli hao wazoefu wa rushwa miaka yote katika kuteua wazabuni mbalimbali.

nitaendelea kuwajuza kinacho jili
nawasilisha

Mkuu wa ma ccm akiipata hiyo atampgia simu amkatie chake afu anahamishwa na promosheni juu kama kwa Shimbo...
 
mkuu, kuchukuwa rushwa na kupokea rushwa siyo kosa kwa uelewa wako ?. kuhusu polisi na takukuru ni kesi ngapi zinazo wahusu mafisadi zilizo fikishwa mahakamani ?. wenye uelewa finyu mtuu akisema ukweli humwita mpinzani . nahisi ulikurupuka kupositi hukusoma na kuelewa kuhusu masharti, vigezo walisha timiza

Bhaleshe welele we zyola, ama ccm mapukupuku nkani... bhakwelengusu abhantu abha... endelea kutujulisha zaidi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom