Wakubwa zangu pokeeni yangu shikamoo
Nanyi wenzangu vipi yenu mamboo
Wadau wenzangu hili nalo jamboo
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidii?
Nimelileta kwenu hili suala nipate zenu shahidiii
Mkunaji kujitumua, kufanya kazi yenu kwa bidii
Ufundi wake wote kuutumia japo apate ushindii
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidiii?
Mkunwaji yeye ndo haswaa anayewashwaaa
Lakini haishi mwenzie mkunaji kumnyanyasaa
Hata awashwe vipi atakomaa kuvuta masaaa
Mkunwa na Mkunaji nani ansikia raha zaidiiii?
Mkunaji hachoki kujitumaa, Kila saa kuulizia
Kama mkunwaji yupo tayari huduma kuimalizia
Wala hahitaji kujiandaa, akiitwa tu jambo kamalizia
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidiii?
Mkunajwi binti kiburi, kingi tena kimemjaaa
Katu hakunwi bila kulipwa pesa kadha wa Kadhaa
Au kupewa zawadi, vitu na mali kadha wa kadhaa
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidiii?
Mkunaji yeye mwanzo huwa hodari mvumilivu
Atakubali yote ili mradi tu apewe hizo mbivu
Akishakula hizo mbivu shurti lake aache maumivu
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidiii?
Mimi nahitimisha hili jalada na kesi naifunga
Wote wawili kwa pamoja hatiani nawafunga
Kama wote mwasikia raha yanini kwingi kuzuga
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidiii?
NAOMBA MAJIBU YENU WAKUU JUU YA HILI SWALA?
nitajuaje kama mkunwaji hajafaidi? je akiniambia karidhika then how can i conclude nani zaidi? ni sawa na compare apples and oranges, unless you have both you can never say which is better.Kwanini? Wewe kama mkunaji umeridhika na kufaidi badi wakunaji wanafaidi zaidiiii!
Asikudanganye mtu, Mwanamke ndio anapata raha sana kwenye kungonoka, Mwanaume anaweza kumwaga hata ndani ya dakika moja, sasa kifuatacho hapo ni kuhakikisha anamkuna mkunwaji mpaka anajisia raha.Kwanini? Wewe kama mkunaji umeridhika na kufaidi badi wakunaji wanafaidi zaidiiii!
Wewe lara 1 nakushangaa, wauliza mambo ya kitoto
Albedo ninashangaa, lara 1 amekuwa kitoto
Toka enzi za Mababu, hili swala lafahamika
Mkunwa na Mkunaji, Raha kwa Mkunwaji
Mkunwa na Mkunaji, Raha kwa Mkunwaji
Mkuna pekecha fimbo, chapa nao mkunwaji
Mkunwa akiguna guna, Mkuna Ongeza Kasi
Mkunwa na Mkunaji, Raha kwa Mkunwaji
Lara 1 kumbe mshamba hivyo, hata sijue yakini jibu
Mkunwaji lara 1 huishi vituko, eti wauliza jibu
Ni kweli hujui jibu, au waleta Viroja
Mkunwa na Mkunaji, Raha kwa Mkunwaji
Muulize shogayo Madame B, yeye alijua pekecho
Kwa hakika lampekecha, hadi anadata kwa kipigo
Apekenywa vizuri t.a.ko, hadi kutoa udenda
Mkunwa na Mkunaji, Raha kwa Mkunwaji
Jamani kwenu wakunaji, sharti mtengeze ute
Mkune kwa Ustadi, ila pasipo huruma
Ukikuna kiaskofu, hakika tadharaulika
Mkunwa na Mkunaji, Raha ni kwa Mkunwaji
Pekecha pekenyua, dogy nayo mishenari
Sukuma kwa ustadi fimbo, mchape muadabishe
Kuna kaka kuna, Ndiyo raha ya Mkunwaji
Mkuna na Mkunwaji, Raha ni kwa Mkunwaji
LARA1 waelewa maana, ila huchoki kunichokozaAlbedo kijana mtukutu, si melewa kutwa kukalia ubishiii
Kama kweli raha anayo mkunwaji kwanini maombi haywaishiii
Mkunwaji akitaka chocho nyie mwatiii, Katu kitu hambishiii
Mkunaji yeye ndo anafaidi zaidi nyote muache ubishiiii!
Wakunaji hata awe na umri kutwa akili zao juu ya wakunwajiii
Wakishamuona mkunwaji wanakua kama mgonjwa na ujiii
Kama mkunwaji ndo anafaidi zanini hizo zenu juhudiii?
Mkunaji yeye ndo anafaidi zaidi nyote muache ubishii!
Si kweli, labda kama wewe size yako ni hawa under 25 ambao hata kukojowa hawajui ni nini.Mkunaji ndio anasikia Raha
Ndio maana mkunaji anaomba kukuna.
Hahaaaaaaa!
Si kweli, labda kama wewe size yako ni hawa under 25 ambao hata kukojowa hawajui ni nini.