Nani huyo?Mnamsikiliza?!?
nipeni umbea jombaa mwenzenu nipo chimbo sipati ubuyu wa kirumbaAnamshushia nyundo Lowassa
Jiulize chukua hatua. Ni ubabaishaji wa kiwango cha juu. Escorw ni nani? EPA je?Kikwete Rais wangu umeniangusha kweli kweli
Mafisadi unawaacha hivi hivi wanadunda kama ulivyofanya wauza dawa za kulevya??
Mbona sheria za nchi yangu haziniambiii watanyimwa kugombea Urais na kusemwa majukwaani??
Kikwete Rais wangu umeniangusha kweli kweli
Mafisadi unawaacha hivi hivi wanadunda kama ulivyofanya wauza dawa za kulevya??
Mbona sheria za nchi yangu haziniambiii watanyimwa kugombea Urais na kusemwa majukwaani??
Dah siasa ni kiboko...a last minute card....
Yaani Kikwete safi sana Lowassa Mzee wa Richmond Phantom Co. Huna pakujibu siku zimeisha ndo utajua wewe ni mdogo sana ktk Nchi hii
Punch ya K.O hiyo, kweli Kikwete anaijua siasa, alikaa kimya sikuzote kumbe alikuwa na target zake
Punch ya K.O hiyo, kweli Kikwete anaijua siasa, alikaa kimya sikuzote kumbe alikuwa na target zake