POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Wakuu: waziri wa fedha mh. Mkullo, ameendelea kutetea ufisadi wa PPF Kwa wafanyakazi (Management) na bodi ya PPF kulipwa hizo pesa (zaidi ya million 100 kwa kila moja) kasisitiza kuwa hata yeye NSSF alilipwa hivyo kwa sababu ni sera ya mashirika ya mifuko ya umma. Na hakuna sheria iliovunjwa. Na kwamba TRA walikata mapato kama kawaida.
TBC- Bungeni
TBC- Bungeni