Mkulo atetea ufisadi wa PPF

POMPO

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
6,690
2,400
Wakuu: waziri wa fedha mh. Mkullo, ameendelea kutetea ufisadi wa PPF Kwa wafanyakazi (Management) na bodi ya PPF kulipwa hizo pesa (zaidi ya million 100 kwa kila moja) kasisitiza kuwa hata yeye NSSF alilipwa hivyo kwa sababu ni sera ya mashirika ya mifuko ya umma. Na hakuna sheria iliovunjwa. Na kwamba TRA walikata mapato kama kawaida.

TBC- Bungeni
 
Unajua ukiwa jikoni kujua kua anaesubiri chakula ananjaa nivigumu sana huyu nimtu asiye na fikra kabisa
 
Mkulo ni mdhambi hawezi kusema kweli.

1. Uondokaji wake NSSF haukuwa wa hiari, aliiba akalazimika kuachia ngazi mapema.

2. Amelidanganya BUNGE tukufu kwa kuwa NSSF hawana utaratibu wa kulipwa Group Endowment. Alilipwaje?

3. Anawatetea akina Erio kwa sababu Mkapa alimuokoa na kumweka peupe.

4. Alihongwa Laptop kwenye members conference Arusha mwaka 2008 na PPF. Atasema nini? PPF wanapeleka misaada kibao Kilosa kwa kumrubuni.

Mungu Mkuu atawaumbua maana watakapoijua kweli, kweli itawaweka huru.

Zitto, maagizo ya kamati yako yasizamishwe na majibu ya kifisadi ya Mkulo.

CAG ahoji wafanyakazi wa kawaida sio wakurugenzi ambao ndio wezi.


Ni nguvu ya umma tu ndio itakayoikoa PPF.



Wakuu: waziri wa fedha mh. Mkullo, ameendelea kutetea ufisadi wa PPF Kwa wafanyakazi (Management) na bodi ya PPF kulipwa hizo pesa (zaidi ya million 100 kwa kila moja) kasisitiza kuwa hata yeye NSSF alilipwa hivyo kwa sababu ni sera ya mashirika ya mifuko ya umma. Na hakuna sheria iliovunjwa. Na kwamba TRA walikata mapato kama kawaida.

TBC- Bungeni
 
utetezi wake ni reflection ya serikali ya chama tawala....
 
Matatizo mengine Rais wetu anajitakia mwenyewe.Watu walishamuambia kuwa Mkulo si mzawa na hana uchungu na nchi lkn yeye kaendelea kumkumbatia bila sababu za msingi.Matatizo mengi yanayotokea sasa hivi ni kwasababu ya viongozi wabovu dizaini ya kina mkulo ambao JK ameridhika nao wakati wanamharibia mpaka anaonekana kituko.
 
wakati huohuo shule hazina madawati wala vitabu,zahanati hazina dawa wala wataalamu,barabara hazipitiki.nini vipaumbele vya hili taifa?kwanini tulipata Uhuru naamini tusingekuwa huru mkoloni asingekub ali huu ujinga.Kanchi tajiri kwa rasilimali viongozi na wateule wachache wanaishi kwa kufuja ilikhali wananchi wengi wanaishi kwenye umaskini wa kufa..people amkeni
 
Nafikiri kazi ya kuanza kupiga mawe magari ya viongozi pamoja na wabunge mafisadi kama EL, Chenge RA et al ianze wajue kwamba Watanzania sio wale wa jana.

Mtoto wako anaposhindwa kupata maji safi ni kwa sababu ya hao mafisi, mtoto anaposhindwa kupata elimu nzuri ni kwa sababu ya hao mafisi, mtoto anaposhindwa kupata matibabu ni kwa sababu ya hao mafisi, mtoto anaposhindwa kusafiri ni kwa sababu ya hayo mafisi ambayo yanafugwa na JK.
 
Kwakweli nji hii hatuna viongozi huyu mkullo anajaribu kujikomba tu pale NSSF hakuna GES alafu yenye alistaafishwa kwa maanufa ya umma kwani integrity zero kwanza i wonder how jk aliweza kumpa ofc wakati jamaa alichemsha pale nssf mpaka nkapa alimtoa kafara leo hii anasema ppf kwa malipo ya ppf thru GES ni sahihi okay najua kwanini mkulo alipewa toto moja pale ppf na erio kama token yaani kumzipa mdomo mkulo na hata huyo dada amekuwa meneja (lulu meengele). Sasa unategemea huyu bro atasema nini juu ya haya malipo ya GES wakati utaratibu wa 2002 ulikuwa kama motisha kwa permanent workers na siyo contract employees inamaana huyu mkulo hizo nyaraka hajaziona. Ndiyo maana hata wizarani wanamtenda huyu waziri kwani kuna kipindi aliwahi kulalamika kuwa directors wake watoa taarifa nyeti kuhusu yenye. Sasa kakulupuka suala GES waachi watu wafanye kazi ki-professional yaani AG, PCCB, GG na Usalama.
 
Hii ni shida ya serekali kutokuwa makini..

Mtu alikuwa mwizi nssf kapewa uwaziri... Nadhani shida ni kubwa kwenye nchi yetu..
 
Typical of Mkulo

always shifting the goal posts

maybe angekuwa honest

kwanza kwa kuonyesha kuwa ana FAKE DEGREE anadiriki kuongopa kuwa alikuwa NSSF wakati ukweli ni kuwa alikuwa NPF

na pia mbona hataki kutueleza kuwa performance yake ilikuwa vipi mpaka anondoka?
 
Mkulo ni mdhambi hawezi kusema kweli.

1. Uondokaji wake NSSF haukuwa wa hiari, aliiba akalazimika kuachia ngazi mapema.

2. Amelidanganya BUNGE tukufu kwa kuwa NSSF hawana utaratibu wa kulipwa Group Endowment. Alilipwaje?

3. Anawatetea akina Erio kwa sababu Mkapa alimuokoa na kumweka peupe.

4. Alihongwa Laptop kwenye members conference Arusha mwaka 2008 na PPF. Atasema nini? PPF wanapeleka misaada kibao Kilosa kwa kumrubuni.

Mungu Mkuu atawaumbua maana watakapoijua kweli, kweli itawaweka huru.

Zitto, maagizo ya kamati yako yasizamishwe na majibu ya kifisadi ya Mkulo.

CAG ahoji wafanyakazi wa kawaida sio wakurugenzi ambao ndio wezi.


Ni nguvu ya umma tu ndio itakayoikoa PPF.

habari za uhakika kutoka katika huo mkutano zinasema kuwa wakurugenzi wastaafu wa PPF walipewa zawadi za laptop kama ishara ya kuenzi utumishi wao wa nyuma. pia mkulo akipewa hiyo zawadi ya laptop japo hakuwahi kuwa mkurugenzi wa PPF. mkurugenzi mkuu wa PPF bw. erio alifafanua kuwa kwa kuwa mkulo alikuwa NPF basi huenda mkurugenzi wa PPF kabla yake alikuwa akienda kudesa kwake baadhi ya mambo yaliyochangia kuiboresha PPF na hivyo na mkulo alichangia ufanisi wa PPF kiaina, kwa hiyo ana-deserve zawadi ya wakurugenzi wastaafu wa PPF!
 
I think mkulo kama wengi wanavyosema kuwa hata shule yake inautata mkubwa kwani hata kwenye individual/personal file records hakuna vyeti hata kimoja na hata ukienda kwenye website bunge pia records zake hazionyeshi kuwa huyu jamaa amesoma chuo kikuu gani hapa duniani. Ndiyo maana hata erio anamchomekea madudu anajua fika huyu anaupeo mdogo sana wa kuchanganua mambo. GES na gratuity kwa mtu ambaye yuko kwenye contract unasema siyo double payments then najua hata CPA au any professional accountancy principal hana huyu jamaa sasa anakuwaje waziri wa fedha iwapo a b c ya fedha inampa shida na ndio maana mtu kama mMARI, KASHIMBA hawa wamesomea fedha na wazo cpa sijui kama wanazitumia ipasavyo au ndo bora liende wachukue pesa na kuweka kipindoni kwani likibumbuluka basi kitakuwa kifo cha wengi. Sasa huwa wanamshauri nini erio bila kujua miiko ya fedha kuwa double payments ni dhambi kubwa na huyu kashimba anaimba mpaka kwenye kwaya na mkewe na video zinamuonyesha na huku analibia shirika sasa dini uache endelea na ushambenga na udaku na uendele na uwizi. Mmari naye ni kasheshe tu kwani huwa anawakalipia wafanyakazi kama watoto wake kuwazaa mfano Msoffe, Gambamala hawa jamaa wanakaripiwa kama watoto wadogo wakati kiumri hawa jamaa ni wakubwa kwake.
 
Mkulo kadanganywa na Erio.

Kosa wanalolifanya, BODI, EXTERNAL AUDITORS, CAG na serikali ni kuwasikiliza wezi wa group endowment benefit. Erio kaiba, mmari, Hosea kashimba na Mganga wameiba na ni hawa wanaotoa maelezo juu ya usahihi wa malipo.

Kama kweli serikali inataka ukweli bila kuingiza siasa na umjomba na kwa kujali maslahi ya taifa, wachunguze wamtumie huyo alikuwa Mhasibu Mkuu wa PPF mwaka 2008 ambaye wamemtimulia Mbeya maana ana ukweli wote na Erio na genge lake la majambazi wanamuogopa mno.

Kwanza inabidi apewe ulinzi, maana wanaweza kumdhuru kupoteza ushahidi. Kama walimtumia watu watatu kwenda Mbeya walioondoka DSM saa 2.00 usiku wakabeba kompyuta yake na kutoroka nayo bila kumshirikisha maana walimtaimu akiwa nje ya ofisi kikazi.


I think mkulo kama wengi wanavyosema kuwa hata shule yake inautata mkubwa kwani hata kwenye individual/personal file records hakuna vyeti hata kimoja na hata ukienda kwenye website bunge pia records zake hazionyeshi kuwa huyu jamaa amesoma chuo kikuu gani hapa duniani. Ndiyo maana hata erio anamchomekea madudu anajua fika huyu anaupeo mdogo sana wa kuchanganua mambo. GES na gratuity kwa mtu ambaye yuko kwenye contract unasema siyo double payments then najua hata CPA au any professional accountancy principal hana huyu jamaa sasa anakuwaje waziri wa fedha iwapo a b c ya fedha inampa shida na ndio maana mtu kama mMARI, KASHIMBA hawa wamesomea fedha na wazo cpa sijui kama wanazitumia ipasavyo au ndo bora liende wachukue pesa na kuweka kipindoni kwani likibumbuluka basi kitakuwa kifo cha wengi. Sasa huwa wanamshauri nini erio bila kujua miiko ya fedha kuwa double payments ni dhambi kubwa na huyu kashimba anaimba mpaka kwenye kwaya na mkewe na video zinamuonyesha na huku analibia shirika sasa dini uache endelea na ushambenga na udaku na uendele na uwizi. Mmari naye ni kasheshe tu kwani huwa anawakalipia wafanyakazi kama watoto wake kuwazaa mfano Msoffe, Gambamala hawa jamaa wanakaripiwa kama watoto wadogo wakati kiumri hawa jamaa ni wakubwa kwake.
 
Mkulo anatakiwa kujiuzulu kwa sababu:
1. Kasema uongo Bungeni
2.Alipokea rushwa ya Laptop toka kwa Erio

3. Kuna dada pale PPF ambaye ni nyumba yake ndogo. Alilazimisha apewe Umeneja wakati hakuwa ameshinda interview. Jina tunalihifadhi kwa sasa. Alikuwa Meneja wa kanda sasa kahamisiwa HQ.

4. Kilosa wamesema sio raia ndio maana hana uchungu na PPF

5. Anaruhusu kuvunjwa kwa sheria za utumishi. Mwaka jana, Waziri wa utumishi alipiga marufuku wafanyakazi wa mikataba wanaolipwa gratuity kulipiwa pension na group endowment.

6 Ameingilia uchunguzi wa CAG kabla ya kutoa majibu


I think mkulo kama wengi wanavyosema kuwa hata shule yake inautata mkubwa kwani hata kwenye individual/personal file records hakuna vyeti hata kimoja na hata ukienda kwenye website bunge pia records zake hazionyeshi kuwa huyu jamaa amesoma chuo kikuu gani hapa duniani. Ndiyo maana hata erio anamchomekea madudu anajua fika huyu anaupeo mdogo sana wa kuchanganua mambo. GES na gratuity kwa mtu ambaye yuko kwenye contract unasema siyo double payments then najua hata CPA au any professional accountancy principal hana huyu jamaa sasa anakuwaje waziri wa fedha iwapo a b c ya fedha inampa shida na ndio maana mtu kama mMARI, KASHIMBA hawa wamesomea fedha na wazo cpa sijui kama wanazitumia ipasavyo au ndo bora liende wachukue pesa na kuweka kipindoni kwani likibumbuluka basi kitakuwa kifo cha wengi. Sasa huwa wanamshauri nini erio bila kujua miiko ya fedha kuwa double payments ni dhambi kubwa na huyu kashimba anaimba mpaka kwenye kwaya na mkewe na video zinamuonyesha na huku analibia shirika sasa dini uache endelea na ushambenga na udaku na uendele na uwizi. Mmari naye ni kasheshe tu kwani huwa anawakalipia wafanyakazi kama watoto wake kuwazaa mfano Msoffe, Gambamala hawa jamaa wanakaripiwa kama watoto wadogo wakati kiumri hawa jamaa ni wakubwa kwake.
 
Nafikiri kazi ya kuanza kupiga mawe magari ya viongozi pamoja na wabunge mafisadi kama EL, Chenge RA et al ianze wajue kwamba Watanzania sio wale wa jana.

Mtoto wako anaposhindwa kupata maji safi ni kwa sababu ya hao mafisi, mtoto anaposhindwa kupata elimu nzuri ni kwa sababu ya hao mafisi, mtoto anaposhindwa kupata matibabu ni kwa sababu ya hao mafisi, mtoto anaposhindwa kusafiri ni kwa sababu ya hayo mafisi ambayo yanafugwa na JK.

Mkuu JK ndio kiongozi wa mafisi wote ndio maana anaona sawa tu. Huwezi kuwa na zizi la mafisi wewe usiwe fisi,yeye ndio fisi mkuu!!!
 
Wakuu: waziri wa fedha mh. Mkullo, ameendelea kutetea ufisadi wa PPF Kwa wafanyakazi (Management) na bodi ya PPF kulipwa hizo pesa (zaidi ya million 100 kwa kila moja) kasisitiza kuwa hata yeye NSSF alilipwa hivyo kwa sababu ni sera ya mashirika ya mifuko ya umma. Na hakuna sheria iliovunjwa. Na kwamba TRA walikata mapato kama kawaida.

TBC- Bungeni

Aendelee kumtetea Erio Wiliam Mkapa akiwa Kilosa huko. PCCB wamfuatilie maana alikuwa anahongeka kwa vijisenti tu. Erio inasemekana alimpa Tshs 300,000,000 za kampeni ya ubunge Kilosa ili aendelee kumsikiliza. Alihongwa laptop na huyo Erio kwenye Members conference.

Baada ya Mkulo, wakurugenzi waliomtia matatani nao MANKANYANGA!!!!, Erio kama Ekerege vile lazima kinuke mwezi huu/
 
unefika wakati kubaini mali za mafisadi ambazo hawakuzipata kihalali na kuzitaifisha kisha kuwasweka mahakamani
 
Back
Top Bottom