Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Leo naona wameamua
kuna wabunge wamehoji uhalali wa waziri wa fedha kudanganya bunge faini atakayolipishwwa
mtu akitenda kosa sh 50,000 wakati kwenye kitabu cha bajeti tena anasoma kwa kudesa kimeandikwa
laki tatu yaani 300,000
watanzania huyu uhuni wa kusema faini imeongezwa alfu 50,000 wakati kwenye kitabau kaandika 300,000
umetokea wapi na kwa nini asiombe radhi kudanganya watanzania au arekebishe imeongezeka mpaka laki tatu
??kuna nini ameficha ama wameamua kuwaongezea mishahara mapolisi kupitia faini wakijua watakula rushwa
kubwa??
Kazi ipo
kuna wabunge wamehoji uhalali wa waziri wa fedha kudanganya bunge faini atakayolipishwwa
mtu akitenda kosa sh 50,000 wakati kwenye kitabu cha bajeti tena anasoma kwa kudesa kimeandikwa
laki tatu yaani 300,000
watanzania huyu uhuni wa kusema faini imeongezwa alfu 50,000 wakati kwenye kitabau kaandika 300,000
umetokea wapi na kwa nini asiombe radhi kudanganya watanzania au arekebishe imeongezeka mpaka laki tatu
??kuna nini ameficha ama wameamua kuwaongezea mishahara mapolisi kupitia faini wakijua watakula rushwa
kubwa??
Kazi ipo