Kwa habari ya bei ya mahindi kupanda nami nitoe maoni; Kwanza mkulima wa Tanzania ameshateseka sana, wakati wewe na mimi tukiwa mjini tunakula ugali na kusaza.
Tunapiga kelele bei ya mahindi imepanda lakini hatuzungumzii kupanda kwa bei za huduma mbalimbali na bidhaa za kiwandani kama sukari na kadhalika. Pia bei ikishuka ndo tunashangilia kuendelea kumnyonya huyu mkulima!
Hakuna aliyezaliwa mkulima, anayeona bei imepanda sana akalime full stop.
Mimi siyo team kusifia ila penye tija nasema! Big up mh. Rais JP. Magufuli kwa hili.