Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Habari wanaJF, hivi majuzi nilimsikia waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira akizungumzia kuwa kuna mkakati unaoitwa MKUHUMI au kwa kizungu REDD ambao lengo lake ni kuhamasisha wananchi kutunza misitu na kulipwa fedha baada ya kuhifadhi hiyo misitu yao. Lengo ni kupambana na uharibifu wa misitu ili kukabiliana na hili tatizo la mabadiliko ya tabia nchi.
Kwa wenye data kamili kuhusu mpango huu tafadhali naomba mnifafanulie ili nifahamu zaidi kwa sababu na mimi ni mkereketwa wa mazingira.
Nawasilisha!!!
Kwa wenye data kamili kuhusu mpango huu tafadhali naomba mnifafanulie ili nifahamu zaidi kwa sababu na mimi ni mkereketwa wa mazingira.
Nawasilisha!!!