Mkosamali on fire in the Parliament

mi nilijua anaungua na moto bungeni si ndo nikashangaaaa hakuna zima moto bungeni??!!Hahahhahahahahah hii lugha ya kikiristo hajawahi kuwa rahisi kwa waumini wake hata siku moja!!
 
ndio maana kakimbia law school akapige mdomo huko bungeni

Acha wivu wa kike wewe Mkosamali kapata ubunge ndio kwanza alikua mwaka wa nne (last year) katika chuo cha Mtakatifua Augustino tawi la Mwanza.
Nakuhakikishia kuwa hajawahi hata kutuma maombi ya kujiunga law school.
 
Acha wivu wa kike wewe Mkosamali kapata ubunge ndio kwanza alikua mwaka wa nne (last year) katika chuo cha Mtakatifua Augustino tawi la Mwanza.
Nakuhakikishia kuwa hajawahi hata kutuma maombi ya kujiunga law school.
,

hujui kitu wewe nyamaza alikua cohort ya 13, assignments zilipokua nyingi hakuonekana tena, iliyoanza august 2012-nakumaliza 2013, sema jingine uambiwe
 
mi nilijua anaungua na moto bungeni si ndo nikashangaaaa hakuna zima moto bungeni??!!Hahahhahahahahah hii lugha ya kikiristo hajawahi kuwa rahisi kwa waumini wake hata siku moja!!
udini umekujaje hapa wewe
 
the fact is kakimbia shule, haya nyie mnaojua zaidi na mje na evidence to contradict my allegation otherwise muache kuharisha, bila kua na facts to counter argue mine.

Kaka, ongea Kiswahili, tutakuelewa, hii lugha ya watu inakuvua nguo na kuonyesha umulugo wako.
 
Kaka, ongea Kiswahili, tutakuelewa, hii lugha ya watu inakuvua nguo na kuonyesha umulugo wako.

huna hoja wewe, kazi kudandia mambo kwa mbele angalia ndugu yangu utakuja dandiwa wewe, nadhani wewe unapata shida kuielewa tafuta dictionary itakusaidia,
 
na wewe kwa kuponda watu! Hivi wewe unanini hapa Tanzania? Una elimu gani wewe?kule thread uliniponda sana,niliporudi na kukupin dawn kwa hoja ukasepa.mkosa mali hata kama kaondoka law school kuna tatizo gani? Elimu haina mwisho atarudi kumalizia cha msingi uzima. Umekaa kimajungu sana kijana.

Asikumalizie muda huyo sijui stroke kwani yeye law school imempeleka wapi
 
Tanzanian govt fails to collect a half of the telecommunication revenues that Rwanda collects and the total population of Rwanda resembles that of Tanzania's Vodacom subscribers -Mkosamali (MP)
Mbona wenyewe wanasema/wanatangaza tofauti an hatujasikia serikali ikikanusha? Vodacom Tanzania to invest TZS120bn in network upgrade

Vodacom Tanzania to invest TZS120bn in network upgrade
14 Jun 2012

Mobile network operator Vodacom Tanzania plans to invest more than TZS120 billion (USD76.97 million) this year in upgrading its network, the firm's managing director, Rene Meza, is quoted as saying. In a news conference this week, Mr Meza told reporters that the unit has invested TZS1.13 trillion in its networks and services since launching in 2001. ‘We have just finished a network upgrade in March this year. We are planning a further TZS120 billion investment in upgrading the network later this year,' he confirmed.

In addition, the Vodacom official confirmed that the cellco is meeting its terms and commitments with both the Tanzania Revenue Authority and the regulator, the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Vodacom's local operating arm has to date paid TZS700 billion in taxes and anticipates contributing a further TZS139 billion in the current fiscal year.

The Tanzanian operator's South Africa-based parent, Vodacom Group, earlier reported that its unit in Tanzania increased its active subscriber base in the twelve months ended 31 March 2012, closing out the period with 9.665 million users, a market share of 40.5%.

Nadhani kuna vitu havijakaa sawa kati ya serikali na haya makampuni ya simu. Kama Voda peke yake inasema imelipa bilion 700 katika miaka kumi iliyopita, on average ni karibu billion 70 kwa mwaka. Nadhani kuna haja ya wabunge wetu kufanya zaidi ya wavyofanya sasa.
 
Kaka, ongea Kiswahili, tutakuelewa, hii lugha ya watu inakuvua nguo na kuonyesha umulugo wako.

Haa haa haaaa ! Mdau hapo juu kaiita kikiristu, halafu alijua Mkosamali anaungua na moto !
Senkyuu veree maachii !
 
huna hoja wewe, kazi kudandia mambo kwa mbele angalia ndugu yangu utakuja dandiwa wewe, nadhani wewe unapata shida kuielewa tafuta dictionary itakusaidia,

.......Mzee 'stroke' imekupiga kichwani nini ?........angalia kuna 'ma-crazy' kabisa humu !
 
the fact is kakimbia shule, haya nyie mnaojua zaidi na mje na evidence to contradict my allegation otherwise muache kuharisha, bila kua na facts to counter argue mine.

........Aiseeh ! We jamaa ume graduate juzi nini !? Bado una mhemko wa degree ya kwanza !? .......mpaka thread unaivuruga !
 
Back
Top Bottom