Jullie Z
Senior Member
- Sep 2, 2014
- 162
- 47
Ngozi feki, kucha feki, nywele feki, nyusi feki....daaah aiseee, sipati picha miaka 10 ijayo.
umesahau kope
Ngozi feki, kucha feki, nywele feki, nyusi feki....daaah aiseee, sipati picha miaka 10 ijayo.
Wanaume wa leo wanataka weupe tatizo hapoo
Ni sawa na hao wanaopenda makalio...basi imekuwa sheeder wanawake wanatafuta makalio kwa kila mbinu...
Wanaume wanachangia yooote
Yep ,hii inakaribia
kutupotezea rangi ya asili ya jamii yetu ,hivi huupendi weusi wako ?
Hivi unajitia mapodozi ya kubleach ili iweje ?
Nimezunguka mashariki kaskazini,mangaribi na kusini ,mademu kila
unaemuona amebadilika sura ,mzungu si mmzungu mhindi si mhindi alimuradi
,nilishughulika kuona maajabu mjini si kawaida tena kumuona mwanamuke
mweusi.kimezidi nini ,kwenye madisco ndio usiseme ,kwenye mikutano hata
wabunge ni weupe ,nikajisemea hivi kumbe tuna waarabu au hawa
wamechanganya na wazungu ,mradi ilikuwa kizaazaa ndani ya roho yangu
,niliwaona siwo nilipowasogelea karibu ni kama mahindi ya kuchoma yale
machanga .
Yote tisala kumi nywele, siku hizi hakuna tena anetumia shanuo kweli
uwongo ? Jawabu nafikiri mnalo ,utaona demu anazungusha kichwa kwa
gafula ukichunguza kumbe anaweka nywele sawa ,aloo waliniwacha hoi
kabisa ,kila unaemuona ,nimetafuta walio na natural zile za shanuo
,nilipata shida ,ila hadi leo sijawafahamu yanini yote haya ? Najisemea
labda ndio wanaona ndio uzuri !
Mwanamke urembo babu natural iachie misitu....
Mwanamke urembo babu natural iachie misitu....
Ninyi ndo wale waleeee,jibu safi hilo litakuwa kwenye chat mpaka December
Ninyi ndo wale waleeee,