Vp mkuu ulifanikiwa?Habari zenu wana JF,
Samahani kwa aliyepata kusikiliza tangazo vizuri kwa wale jamaa wanaokopesha laptop kwa wanachuo na wafanyakazi, tangazo huwa linaruka kupitia Clouds Fm, naomba anikumbushe jina la company hiyo nina shida nalo.