Una uhakika sijatafuta wateja kama hujui shida kaa kimya,unaweza kutafuta mteja na usipate mtu anakuja anakuambia nimuuzie TV na Radio kwa 200,000 wakati vyote vina thamani ya 700,000 sasa sijui utauza au unaamua kutafuta njia nyingine.
Wewe na ujinga wako unabadili lengo la post,mimi nilihitaji mkopo wa riba,sio kupewa bure,hakuna cha bure chini ya jua.
Endelea kuandika eti sina mgonjwa na tapeli ila tambua tayari yupo Dar kwa ajili ya matibabu.
Sichagui vya kujibu ili naona unaandika pumba tu na kujitapa kama huwezi kupata shida.