Bila shaka hapo kwenye nyota kuna neno K. I. L.A.Z.AWw hiyo si special diploma ya udom haki yako kuitwa *****
bado unaitaka?..utaitwa ****** bure
Nyie ndio unataka kutu........ Mkuu soma post kabla hujaituma bana! Sasa kiswahili gani hiyo!?Kwanza huna kigezo cha kupata huo mkopo. Unataka kuwa mwalimu wakati wewe mwenyewe kujieleza ili usaidiwe ni tatizo??? Nyie ndio unatuharibia elimu yetu. Ndalichako ndio dawa yenu.