CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,253
- 12,869
hali zenu wanajamvi. ni wapi naweza kupata mkopo wa milion 3 ili niweze kuemndeleza biashara yangu. me nipo mwanza ni mjasiriamal mdogo au mchanga ktk biashara. iwe ni kwa mtu binafs au kampun au shirika. mkopo uwe na riba nafuu. natanguliza shukran