conrym.conrym
Member
- Jul 24, 2014
- 99
- 7
Habari wadau, nahitaji mkopo wa haraka wa 600,000/=. Niko Dar es salaam!
Kamaa una security ya maaana nitafute riba 150,000 kwa mwez uki default adhabu (unalipa jumla ya deni 750,000 na 5% ya deni kwa muda wa week 1 ukizidishaaa mali yako unakua umeniuziaa (750,000+(750,000*5%)
security yakooo iwe na value mara 3 ya mkopooo unao uitaj vigezooo na masharti kuzingatiwa
Habari wadau, nahitaji mkopo wa haraka wa 600,000/=. Niko Dar es salaam!
Karibu kwenye taasisi yetu inakupa Mkopo ndani ya 24 hrs