mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,610
- 1,601
Watu watalala macho wanasubiri kwenda kutoa damu zao ili wafanye hii kazi!Leo nafundisha live...!!! Kwa wale wasiopenda natanguliza kuomba radhi TUVUMILIANE kuna baadhi wanaohangaishwa yatawafaa
Wanga ni watu hovyo sana hukufanyia mambo ya kukuchosha mwili na vitu vya ajabu ajabu bila faida yoyote
Hivyo basi mtu wa kaliba naye hana budi kupata shida kidogo pale inapobidi
Tafuta ufanikiwe kupata mchanga wa nyayo zake akiwa peku,tafuta ndulele tatu jivu pilipili kichaa au ----- na kipande kidogo cha kaniki....changanya vyote ikibidi twanga ongeza na matone kadhaa ya damu yako kisha funga kaza sana kwenye kipande cha kaniki
1. Sigina na kisigino huku ukinuizia kama unataka miguu imuume
2. Choma na sindano ukitaka miguu ichome chome
3. Banika motoni ukitaka miguu yake iwake moto
4. Kaanga kwenye kikaango kikavu ukitaka miguu imuwashe
Fanya hivi kama unaamini hizi mambo na una roho mbaya ya visasi...kumbuka kuna hukumu siku ya kiama
Sihusiki na matokeo ya matendo yako
Shikamooo dada! Miss you so much! Hope it's all fine over thereWatu watalala macho wanasubiri kwenda kutoa damu zao ili wafanye hii kazi!
Watu wataota sugu miguu wakisigina na kuamini watafanikiwa.
Mganga ukienda kwake kwanza anafanya research kukutumia kwa kuulliza historia ya maisha yako na jirani zako. Maswali anayokuuliza mganga ndo tiba yake na ndiyo downfall yako. Kama umeoa/olewa sema bado. Kama unaumwa kichwa sema mguu. Kama wazazi wako hai sema mmoja kafariki na una mama wa kambo.
Hapo ndo utajua jinsi watu wanavyoliwa. Be blessed my brother!!! Watajiju.,
Best of luck to the whole family I had insence lighted in my meditation n chanting session on that vessel! It was xtremely wonderful! Nikakukumbuka sanaMiss you too. Huku joto kidogo ila on Sat nasepa hivyo we may not talk for a while. Nitakupm kabla. Wajomba hawajambo mmoja anapresent paper yake ya masters on Sat. Tutakuwa kwenye p...a kelekea kwa S.S.CH.
Mshana Jr pale mitaa ya manzese darajani kuna duka la hizi zana kabisa, sijui nae analipa kodi!?Thanks and anxious waiting!
Enhee, nikipitaga pale naona kama uchawi kabisa umejaa mule, halafu inaonekana wateja wake wengi ni waswahili japo nadra sana kuona wateja wazi waziNalifahamu sana liko kwenye uchochoro wa kutokea Kingstone au Sandtone bar(santon)
Hahaaaa mkuu umerudi lini???Safi sana
Utamtambuaje huyu ni mwanga ili upate huo mchanga wa nyayo zake labda nawe uwe mchawi.just thinkingLeo nafundisha live...!!! Kwa wale wasiopenda natanguliza kuomba radhi TUVUMILIANE kuna baadhi wanaohangaishwa yatawafaa
Wanga ni watu hovyo sana hukufanyia mambo ya kukuchosha mwili na vitu vya ajabu ajabu bila faida yoyote
Hivyo basi mtu wa kaliba naye hana budi kupata shida kidogo pale inapobidi
Tafuta ufanikiwe kupata mchanga wa nyayo zake akiwa peku,tafuta ndulele tatu jivu pilipili kichaa au ----- na kipande kidogo cha kaniki....changanya vyote ikibidi twanga ongeza na matone kadhaa ya damu yako kisha funga kaza sana kwenye kipande cha kaniki
1. Sigina na kisigino huku ukinuizia kama unataka miguu imuume
2. Choma na sindano ukitaka miguu ichome chome
3. Banika motoni ukitaka miguu yake iwake moto
4. Kaanga kwenye kikaango kikavu ukitaka miguu imuwashe
Fanya hivi kama unaamini hizi mambo na una roho mbaya ya visasi...kumbuka kuna hukumu siku ya kiama
Sihusiki na matokeo ya matendo yako
Sory mkuu umeniacha noa ipi au ndo niniChoma mfupa wa noa vukiza moshi wake chumbani