Mwanamke mjamzito anaweza anaweza kufanyaje kuondoa tatizo la mkojo mchafu ili kuzuia U T I nini cha kufanya
Mkojo mchafu km mnavyouita si lazima uwe na UTI
Mwanamke mjamzito anaweza anaweza kufanyaje kuondoa tatizo la mkojo mchafu ili kuzuia U T I nini cha kufanya
Mkojo mchafu km mnavyouita si lazima uwe na UTI
namna vyakura unavyokura vinywaji na kiasi cha maji ndo matokeo ya mkojo wenye Afya au dhaifu
Sent using Jamii Forums mobile app