maendeleo yanaanza kwa mtu mmojammoja wewe umefanya juhudi gani za kuuendeleza mkoa wako? mfano kufungua radio station au kuboresha usafiri ili taarifa zije kwa wakati.pia hata kutoa elimu kwa raia kuhusiana na mbinu za kujikwamua kiuchumi? isitoshe ufunguaji wa project kubwa ambazo zinaweza kutoa ajira nyingi kwa vijana au ndo unataka serikali ifanye iyo shughuli mfano kufungua walau supermarket kubwa zinaweza kuchangia kuinua uchumi wa mkoa kama huzijui shughuli za msingi za serikali.wew kama mdau jaribu kuboresha huo mfumo wa habari.