Mkoa wa Mwanza unahitaji mkuu wa mkoa mpya

Mkoa wa Mwanza unahitaji mkuu wa mkoa mpya

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,289
Reaction score
5,741
Huu mkoa umekuwa na bahati mbaya sana kupata wakuu wa mikoa wasio wabunifu.
Kwa sasa kuna mkuu wa mkoa ambaye ukifuatilia tu historia yake unaona ni mtu aliyefaa kuwa meneja wa soko la samaki kirumba.
Hiki cheo alichonacho kwake ni lidude kuubwa mno.Hatoshi kwenye nafasi hiyo.Hana maadili ya uongozi kabisa.

Mwanza imewahi kupata mkuu wa mkoa mmoja aliitwa Daniel Ole Njolay.Huyu ni mkuu wa mkoa aliyekuwa mbunifu na mchapa kazi sana.Mwanza ilikuwa safi enzi zake na ilipendeza sana.

Najiuliza tu hivi huko ccm mmekosa kweli mtu mbunifu mchapa kazi kama Paul Makonda au watu kama Mtaka ili kumpa mkoa muhimu kama Mwanza?
Watu wa Mwanza tunahitaji mtuheshimu kidogo kwa kutuletea viongozi makini sio aina ya kiongozi aliyepo.
 
Huu mkoa umekuwa na bahati mbaya sana kupata wakuu wa mikoa wasio wabunifu.
Kwa sasa kuna mkuu wa mkoa ambaye ukifuatilia tu historia yake unaona ni mtu aliyefaa kuwa meneja wa soko la samaki kirumba.
Hiki cheo alichonacho kwake ni lidude kuubwa mno.Hatoshi kwenye nafasi hiyo.Hana maadili ya uongozi kabisa.

Mwanza imewahi kupata mkuu wa mkoa mmoja aliitwa Daniel Ole Njolay.Huyu ni mkuu wa mkoa aliyekuwa mbunifu na mchapa kazi sana.Mwanza ilikuwa safi enzi zake na ilipendeza sana.

Najiuliza tu hivi huko ccm mmekosa kweli mtu mbunifu mchapa kazi kama Paul Makonda au watu kama Mtaka ili kumpa mkoa muhimu kama Mwanza?
Watu wa Mwanza tunahitaji mtuheshimu kidogo kwa kutuletea viongozi makini sio aina ya kiongozi aliyepo.
Uzi mzuri umeharibu ulivyomtaja makonda...anyway napingana na wewe kuhusu suala la mkuu mkoa coz mwanza inahitaji mfumo mzima wa uongozi ufumuliwe na kuundwa upya kwa sababu waliopo wanafanya kazi kwa mazoea.

Kwa mfano mwanza ina potential kubwa linapokuja suala zima la utalii lakini wahusika wamelala usingizi mzito mno.walipaswa wajenge miundo mbinu na kukaribisha wawekezaji wawekeze maeneo mbalimbali ili kukuza utalii.

wenyewe wamekariri kujenga masoko pekee yake hawataki kutoka nje ya box
 
Wewe shabiki wa makolo huwezi kunitoa Mwanza mm ndo RC Hadi 2030.
 
Mnataka tuwaheshimu nyie wenyewe mnajiheshimu?
 
Kweli aisee huyu mkuu wa mkoa alitakiwa awe katavi huko au tandahimba. Mwanza linatakiwa jembe kweli kweli sio huyo mtanda havielewekagi hata anavyoongea
 
Back
Top Bottom