dennoo_appliances
Senior Member
- Nov 28, 2018
- 136
- 190
Shule nyingi za Kilimanjaro ni za maadili sana ndiyo za missionary school , maadili na nidhamu ndiyo nguzo ya ufaulu na mafanikio katika maisha ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya walimu ni factor pia mkuu, ila juu ya nidhamu na maadili inaleta matokeo mazuri kwa 80%,nina experience koz nilipitia seminary najua nini kinaleta matokeo mazuriWalimu wa hizo shule ni wakali mkuu. Hawatakagi mchezo. Wako radhi wamrudishe mtoto wako home kama anazembea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya walimu ni factor pia mkuu, ila juu ya nidhamu na maadili inaleta matokeo mazuri kwa 80%,nina experience koz nilipitia seminary najua nini kinaleta matokeo mazuri
Sent using Jamii Forums mobile app