ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,807
- 60,666
IPO siku utaelewa kwanini watu wenye akili tumeamua kumkubali Magufuli..tunajua Sana nyie mpo nyuma Sana kwenye utambuziDaaah Brother hata wewe tena?
I thought I could see a comment like this from praise team and 7000/= aspirants.. but not from you. To me ua among the members who gives us thoughtful and constructive ideas.. but this one mmmmmmmmm
Tatizo uelewa wako Upo chini, ninacho maanisha hapo ukiitengeneza mkoa wa Arusha vizuri, watalii wataongezeka kwa kupata huduma nzuri, then pato la Taifa litaongezeka ndio na ww utaweza kutengeneza nchi kwa ajili yako.. Kwa kifupi katika nchi yeyote kuna mikoa imekaa kibiashara kitaifa.
Hujui ulisemalo ww.. Time will tell.IPO siku utaelewa kwanini watu wenye akili tumeamua kumkubali Magufuli..tunajua Sana nyie mpo nyuma Sana kwenye utambuzi
Mbona umepanikHoja unayo ila umeiwasilisha kikudakuda sana,kwani sisi wa Tunduru hatuhitaji barabara nzuri,mbona Iringa wanatulisha,acha kujifanya wathamani kuliko sisi.
Sasa Mh Magufuli ametokea wapi hapo? Did I mentioned him any where in my comment to paschal Mayala? Au uliamua tu u mtaje hapo ili usikose tokea kwenye payroll ya wiki hii?IPO siku utaelewa kwanini watu wenye akili tumeamua kumkubali Magufuli..tunajua Sana nyie mpo nyuma Sana kwenye utambuzi
Ha haa labda Kuna samaki kwenye mitaroBarabara ya White Rose, Mianzini, Really? Mtalii Afuate Nini Huko?
upo very irrelevant! Ukulishao hauharibiwi Bali hutunzwa! Huko tunduru mnachangia kiasi gani kwenye uchumi Wa nchi? Ongelea facts na acha siasa kwenye uchumi. Serikali isipende kukamua ng'ombe asiyo ilisha!Hoja unayo ila umeiwasilisha kikudakuda sana,kwani sisi wa Tunduru hatuhitaji barabara nzuri,mbona Iringa wanatulisha,acha kujifanya wathamani kuliko sisi.
Upon
upo very irrelevant! Ukulishao hauharibiwi Bali hutunzwa! Huko tunduru mnachangia kiasi gani kwenye uchumi Wa nchi? Ongelea facts na acha siasa kwenye uchumi. Serikali isipende kukamua ng'ombe asiyo ilisha!
Acha kabisa hizo barabara alizotaja ukiambiwa upite msibani aise[emoji41][emoji41]Geneva ya afrika hiyo
Ova
Na wewe fungua uzi wa kutaka na Tunduru iwe na barabara nzuri. Na pia ukipenda uelezee namna panavyochangia pato la taifa.Hoja unayo ila umeiwasilisha kikudakuda sana,kwani sisi wa Tunduru hatuhitaji barabara nzuri,mbona Iringa wanatulisha,acha kujifanya wathamani kuliko sisi.
Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.P
P. Hii siyo style yako ya uandishi ninayoijua! Kama account yako imeingiliwa omba msaada kwani wanakuharibia kwa kujenga hoja kiitikadi! Au umaamua kukiwinda kiti cha ukuu Wa wilaya ya tunduru kwa uwazi hivi? Siyo fair lakini hats kama mwenyekiti Wa uvccm taiga alilisema kuwa hakuna maendekeo kwa maeneo yanayoongozwa na vyama mbadala! Kwani wasukuma MNA nini kichwani mwenu?Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.
P
pascal ni team praise, kwa kuwa tu hapo ni mbunge wa upinzani ndio maana anasema hivyo. Nenda huko kwao usukumani kwenye wabunge wa ccm toka tanzania imezaliwa hadi leo uone miundombinu ilivyoPaskal, kweli bado unaamini kuwa mbunge ndiye mwenye uwezo wa kutatua changamoto zote jimboni - kwamba atatengeneza barabara, utatoa vitanda, atatoa madaftari kwa watoto nk?
Mbona hujauliza fungu kama la Mkuu wa Mkoa na Wilaya?
Mbona hujauliza TARURA/TANROAD ambao wana fedha za Road Fund?
Kweli leo tukikupa UBUNGE utamaliza matatizo ya jimbo lako?
Naendelea kutafakari kauli hii kiongozi.
Endekezeni uchawi tu na sijui nchi inanufaikaje!Selfish northern creature.
Ubaguzi ndo huo sasa tukiwaambia maana sisi tumelalamika na haki yetu kama Arusha ni jiji maana yake linajitegemea karibia 95% sasa tukiomba barabara ni haki yetu.Wewe ni mjinga japo kiasi una hoja kwa mbali. Hivi ninyi wakaskazini mna shida gani? Ni fursa gani ilopokonywa Arusha na kupelekwa mkoa mwingine? Mbona mna mambo ya kijinga jinga saana, ukanda unawasaidia nini? Hoja ungeiweka ktk ubovu wa miundombinu tuu ingeeleweka. Kwanza ni mkoa gani umekamilika ktk suala la miundombinu hapa Tz. Jifunze kujenga hoja bila kuweka mambo ya ukanda.
Umeshindwa kuelewa hiyo barabara ni ya TARURA au TANROAD na mbunge hajengi barabara.Kwa kweli hii hali ni mbaya kweli!, ukiambiwa hapa kuna mbunge unaweza usiamini, its so sad and pathetic. Hivi mbunge wa hapa ni nani tena vile?. Fedha za mfuko wa jimbo anafanyia nini?, maana zinatosha hata kumwaga tuu kifusi. Wana Arusha mlifanya makosa sana, sasa msirudie makosa ili Arusha irudie ile hadhi yake.
P