Mkoa gani unaongoza kwa gharama kubwa za maisha?

Mkoa gani unaongoza kwa gharama kubwa za maisha?

Nadhani kwa Dar mngetaja na maeneo kabisa.

Vinginevyo mnaionea bure kwa ku generalize.
 
Ukishaitaja Mtwara usiisahau lindi ya moto sana
Wanasema ukikuta wenyeji wako wanachutama basi na wewe uchutame kama wao. Niliwahi kula ngozi ya ng’ombe kama supu 😁😁 (Mtwara hii). Ilibaki kidogo niijue ladha ya chamaki nchanga.
 
Dar kawaida, dagaa Mchele buku, nyanya 200, kitunguu 100, ahh dona kisado imeisha hiyo.
Hata ukiangalia masoko mengi ya vyakula, bei zao ni cheap.

Sasa hao wanaosema bei juu watuambie ni wapi huko, isije ikawa wao kila manunuzi wanafanya Mlimani City
 
Dodoma ukivunja umbo, unakimbiza, ila Chukwani Unguja ile sehemu hata ukitoka kule bado unapata nightmare 🤣🤣🤣
 
Dar es salaam mkuu, that's very challenge aisee
 
Mikoa yote wanakochimba madini maisha ni ghali sana...Geita wali na maharage shs 5,000 wakati kule kwa wadigo Tanga wali maharage sh. 1,000
.


.
Sio kweli utkw unaishi geita ya ujerumani
 
Dodoma, package ambayo Arusha unapata KWA mia TATU Dom ni jero, chemicals ambazo Arusha NILIKUA NACHUKIA KWA let say nusu kilo EF Saba dom EF Tisa *****, MPAKA nikaanza chujulia Arusha tu
 
Dodoma
Arusha.

Dar, hapa inategemea na eneo husika.
 
Back
Top Bottom