Mikoa yote wanakochimba madini maisha ni ghali sana...Geita wali na maharage shs 5,000 wakati kule kwa wadigo Tanga wali maharage sh. 1,000Mkoa gani unaongoza kwa gharama kubwa za maisha ?
Geita maisha yako cheap sana, huo mkoa una ardhi yenye rutuba nzuri hivo mazao mengi yanastawi sana, pia unapakana na mikoa ya Kagera na Kigoma ambayo ni inazalisha na kusafirisha vyakula vingi kwa Geita.Mikoa yote wanakochimba madini maisha ni ghali sana...Geita wali na maharage shs 5,000 wakati kule kwa wadigo Tanga wali maharage sh. 1,000
.
.
Sijawahi kuishi Dodoma, ila kwa kuingia tu na kutoka panaonekana pagumu, Arusha mjini ni pagumu lakini pembezoni huwa kuna masoko ya vyakula bei chee, Mtwara mboga tu ni kasheshe.Dodoma
Arusha
Geita
Mtwara
Kwakweli Maisha ya Dodoma yanatunyosha haswa, bila 3,600 (kilo ya mchele) hujala Wali, Bei ya Parachichi 3,000.Dodoma, Unguja