Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,565
Pole sana Mica,Pole kwa kuumizwa mimi imenitokea juzijuzi tu hapa, mpenzi wangu ameenda mkoa x kwa ma mdogo wake, tena alikuwa na ujauzito kamiza wa miez kama mitano hivi,
Aisee amefika huko mara nikaanza kuhisi mabadikiko makubwa ukimpigia simu mara akwambie yuko bize sijui mara makorokoro gani
Kumbe alifika kule mama ake Mdogo kamuungananishia kwa jamaa fulan sijui wanafahamiana na huyo mama! Basi buana wakapanga mbinu wanidanganye kuwa mimba ile imepata hitilafu imeporomoka lakni kilichinistua n kwamba siku mimba inatoka sikuambiwa eti nakuja kuambiwa baada ya siku tatu!
Aiseee ikabidi nianze kutumia mbinu za kipelelezi nikafanikiwa kupata data kutoka kwa rafiki wa mpenz wangu (alifika kule akaanza kutumia simu ya huyo kuwasiliana na Mimi maana yeye alifika akaibiwa simu)
Nikapata data had no za huyo mwanaume aliemuweka ndani/ kumuoa mpenz wangu. Aiseee tuliongea akaanza kusema eti " huyu mwanamke mm amekuja huku akawa anadai ametelekezwa na mpenz wake kwahyo mm nikjajitoa mhanga kumsaidia na mama yake ananijua kuwa mm ndo mume wake" aliongea upuuz mwingi tu! Akasema na hiyo mimba ni kweli imetoka kwahyo wewe huku huna chako na huyu kuanzia Leo faham n mke wa mtu na akaongea upumbavu mwingi tu!
Hiyo ilikuwa tar 6/1 mwaka huu tu! Acheni mapenzi na kupoteza mtoto inauma asikwambie mtu,
Basi nikamdadisi sana yule mpelelezi wangu akasema wamesuka njama tu hiyo mimba haijatoka bado anayo tena n mimba kubwa tu wanataka wakudhurumu tu damu yako,
Kiukweli nilikosa jibu kwann huyu mpenz ameamua kunifanyia hivi nini amekosa kwangu au shda n kumkubalia kwenda kwa mama yake? Kiukweli kuna wanawake mashetani sana dunia hii,
Na Mimi nimeshasema hivi wao wajidanganye tu ila mtoto atakayezaliwa lazima anitafute. Nimefanyiwa kitu kibaya sana bila kosa lolote kiukweli ndo maana watu wanaua wapenzi wao kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila una uhakika ujauzito alioubeba 'mpenzi wako' ni kweli wewe ulikuwa muhusika?
Vipi kama hiyo mimba ni ya huyo jamaa anayeishi nae sasa?
Okay nisikuongezee stress, ila jaribu kuwaza positive na negative pia kwamba "yawezekana ujauzito ni wewe muhusika au sio wewe muhusika".