sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Nimemsikia Makamu wa Rais alidai vijana wengi wa Tanzania sio waaminifu haya Mimi nakubali kabisa sio waaminifu.
Pili nimemsikia Mh Rais anadai yakuwa vijana wengi wasio na ajira wanahamia Twitter Republic na kuitusi serikali, sasa sijui hizo fedha za kununua vifurushi wanazopata wapi ilihali hawana ajira.
Maoni yangu binafisi kwa Rais, Sisi vijana wasio waaminifu na wale wa Twitter Republic tunaomba mkija kuomba kula mje na nyaraka za kuonesha nani anaewatukana na pili ni akina nani walichukua 1.8 Bilioni na hawalipi hizo fedha?
Tambua nje ya hilo, kura zetu mtazisikia rediooooni, hasa redio BBC.
Pili nimemsikia Mh Rais anadai yakuwa vijana wengi wasio na ajira wanahamia Twitter Republic na kuitusi serikali, sasa sijui hizo fedha za kununua vifurushi wanazopata wapi ilihali hawana ajira.
Maoni yangu binafisi kwa Rais, Sisi vijana wasio waaminifu na wale wa Twitter Republic tunaomba mkija kuomba kula mje na nyaraka za kuonesha nani anaewatukana na pili ni akina nani walichukua 1.8 Bilioni na hawalipi hizo fedha?
Tambua nje ya hilo, kura zetu mtazisikia rediooooni, hasa redio BBC.