Mkeo vs Mchepuko!

Mkeo vs Mchepuko!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,254
IMG-20171126-WA0047.jpg
 
Mchepuko ulikua unaniosha miguu ila nimejenga mazingira kwa mke hajiongezi wala nn!
 
achambwe had afe
Swadakta a!Hilo neno nafikiri ni sahihi. Halafu, hivi mwanaume anaanzishaje gubu eti kisa bibie kaunguza chakula?Halafu mara moja tu kwa bahati mbaya. Hii ni tabia mbaya, uchoyo, umimi, uchawi, kutetemekea misosi na upuuzi. Ndiyo hao hawakosi kwenye kila hitma/arobaini zitokeazo mitaani kwa uroho. Hafuatishi sala/dua muda wote kaweka mikono mfuko WA suruali anahesabu pilipili alizoenda nazo kwenye shughuli.
 
Swadakta a!Hilo neno nafikiri ni sahihi. Halafu, hivi mwanaume anaanzishaje gubu eti kisa bibie kaunguza chakula?Halafu mara moja tu kwa bahati mbaya. Hii ni tabia mbaya, uchoyo, umimi, uchawi, kutetemekea misosi na upuuzi. Ndiyo hao hawakosi kwenye kila hitma/arobaini zitokeazo mitaani kwa uroho. Hafuatishi sala/dua muda wote kaweka mikono mfuko WA suruali anahesabu pilipili alizoenda nazo kwenye shughuli.


nimechekaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom