Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,327
Usicheke sana, segito! Hii picha aliyoileta mkuu imechokoza mengine.nimechekaaaaaaaaaaaaa
Usicheke sana, segito! Hii picha aliyoileta mkuu imechokoza mengine.nimechekaaaaaaaaaaaaa
kwa hayo mapishi kamwe hawezi kuwa mchepukoNa mkeo akiwa mchepuko wa mwenzio je?
Kwa chapati hizo atatoswa tu.Na mkeo akiwa mchepuko wa mwenzio je?
Bi. Mbitiyaza wanaume wote ni watu wema. Ila kuna wavulana wachache wanatuharibia sifa yetu nzuri.hahhahaa sio wote lakini
Swadakta a!Hilo neno nafikiri ni sahihi. Halafu, hivi mwanaume anaanzishaje gubu eti kisa bibie kaunguza chakula?Halafu mara moja tu kwa bahati mbaya. Hii ni tabia mbaya, uchoyo, umimi, uchawi, kutetemekea misosi na upuuzi. Ndiyo hao hawakosi kwenye kila hitma/arobaini zitokeazo mitaani kwa uroho. Hafuatishi sala/dua muda wote kaweka mikono mfuko WA suruali anahesabu pilipili alizoenda nazo kwenye shughuli.

Bi. Mbitiyaza wanaume wote ni watu wema. Ila kuna wavulana wachache wanatuharibia sifa yetu nzuri.
Usicheke sana, segito! Hii picha aliyoileta mkuu imechokoza mengine.
Hahah nimeona chapat zako umeunguza kichz!!mshindwe!tena shetani apaeee
Hahah nimeona chapat zako umeunguza kichz!!
Dah tutakuwa tunafanya mchezo mmoja wa hatari sana!!!!hahhaa kama ingewezekana siku uje kwangu niambie chochote kile nikupikie !kasoro KITIMOTO TU !utashaa!

Dah tutakuwa tunafanya mchezo mmoja wa hatari sana!!!!![]()
![]()
![]()
![]()
ah wapi !si mgeni umekuja nisalimia mamako?
eb njoo kwnz kwa majaliwa nkwambie kitu![]()
![]()
![]()
eb njoo kwnz kwa majaliwa nkwambie kitu
Haha njoo bhana kwel ujueteh acha uhuni eti kwa majaliwa teh teh
Bora umejijuaMchepuko unafanya kila njia ili tuu umsahau mke...
Kwangu mimi michepuko haina nafac kabsa...
Hahahahaaa!Nzusa pa mwaka bela segito!ahahahah pede ukunyesa nene kha!wigina mno be !pede kumufiindi usa panili