Asante kwa somo lako ila kwa upande wangu mimi naona body language inajitosheleza kabisa,mkeo akiwa na hamu utaona matendo yake tu,mara akuguse,mara apige story za hayo mambo,mara pumzi imbadilike nk.Nikianza kautaratibu ka kunusana hata nisiposikia harufu nitaishia kutwanga tu.