Mkenya anamiliki migodi Tanzanite leseni 4 na maombi 7

Wakenya wakati mwingine muwe waungwana
Maparachichi mnasema yote mmevuna Kenya wakati mnajua wazi ni Tz Product (best)
Korosho Mbao mnasema zinavunwa Kenya mnapeleka India China Europe
Tanzanite ndio usiseme mpaka uwaulize wazungu huko kwenye maduka yao ya Vito kama wanayo Tanzanite watakuambia ile ya Kenya ndipo unapoocha mdomo wazi Tanzanite na Kenya wapi na wapi! Unawapa elimu kuwa Tanzanite ni mali ya Tanzania they connect the dots ndio unasikia oh tulijua inachimbwa Kenya unawaambia ingeitwa Kenyanite!
Wa kulaumiwa ni serikali ya sisiemu period!
Ona wanavyochota madini yetu alafu kuna majinga sababu ya njaa wanawatetea haya madini yametoka kwenye mgodi wa familia ya Ngoo serekali haijaambulia chochote
FB_IMG_1545623780301.jpeg
FB_IMG_1545623966963.jpeg
FB_IMG_1545624320240.jpeg
 
hawa ndo wachawi wa karne hiii hapendi kabisa maendeleo ya mtu ....hivi unadhani serikali hawajui hawa watu unadhani kwa serikali hii wangeweza fanya ushenzi cheap kama huo....wacha watu watengeneze pesa
Serekali bila kusiidiwa na raia wema wa tajuaje
 
Wacha wivu, bora wakenya waje wamiliki kuliko hawa wachina wasiojiusisha na democrasia. Wanajifanya hawaijui.
Wakenya ni wabaya sana kwenye rasilimali zao tuliajiriwa na Davis Ngoo huku kwao taveta kenya yeye akatuacha tukifanya kazi tulivyamiwa na wanakijiji wakatupora kila kitu tulibaki na nguo tulizo vaa tulitembea kwa miguu hadi olili ndipo tulipo pata msaada wabaya sanaa hawa.Haya mambo msiyachukulie kimzaha.
Screenshot_20181224-072134_Facebook.jpeg
 
Wakenya ni wabaya sana kwenye rasilimali zao tuliajiriwa na Davis Ngoo huku kwao taveta kenya yeye akatuacha tukifanya kazi tulivyamiwa na wanakijiji wakatupora kila kitu tulibaki na nguo tulizo vaa tulitembea kwa miguu hadi olili ndipo tulipo pata msaada wabaya sanaa hawa.Haya mambo msiyachukulie kimzaha.View attachment 975853
We kichaa acha kuharibia wenzio biashara bata wewe
 
Pole sana na fikra zako hasi, na vema utambuwe kuwa kuna Watanzania wako Kenya wamewekeza vya kutosha,ili mradi hawavunji sheria.
Watanzania Kenya wapo wamewekeza lakini sio kwenye rasilimali zao kama madini,aridhi na utali watakuwa soon.
 
Uchawi kama wa Magufuli ndo huanza hivi hivi. Mleta mada subiri kuota mkia tuu
 
Ungekuwa na akili timam..ungeacha huu ujinga ukatafuta mtaji na wewe ukaombe kibali uchimbe madini hukoo. Ila wewe na aliyekutuma kuchafua watu while mnajua wana valid docs na kufata sheria zote za TZ kufanya wanachofanya ila mnataka wadhulumu kisa roho zenu za wivu wa maendeleo. Saa hizi ungekuwa umepeleka familia yako holidays Dubai huko kama ungewekeza kama wao. Umekalia umbea tu na ushushushu msimu wote huu wa siku kuu. Sheeenzy type.
Msio kuwa na akili ndio mnachekelea mali zetu zikiibiwa.Tuwe kama wakenya kwenye rasilimali zao ni kama nyuki hawakubali
 
Hakuna anayeibiwa..ni sheria za nchi zimefatwa..in this case scenario. Ila ingekuwa haijafatwa tunahaki ya kulalamika. Jielewen plz. Hawa wanafitna tuu na udhulumishi. Katumwa huyu.
Hakuna mtu anatumwa JF uchunguzi ufanyike lisemwalo lipo,hakuna kinacho semwa kiwe uongo kabisa kutukuwa na kitu aidha kurushana.
 
Wivu tu ndo unakusumbua, amekushindeni kibiashara mnaanza kuleta fitna za kijinga... Kwani kuwa Mkenya na kumiliki mgodi ni kosa? Sheria zinaruhusu na wala sioni sababu ya kumtaja huyo mbunge kwamba ndo itaongeza reliability ya story yako... Compete acha majungu
Haha kabisa
 
Hoja zako zimejibiwa na maelezo kuwa "anatorosha madini"
Toa evidence sasa hearsay tu pekee haitoshi " kama evidence huna basi itabaki kuwa uzushi tu na unafiki " ... kuwa mkenya haiwezi kuwa kigezo cha kutaka apokonywe leseni ... what if akiwa amefuata taratibu zote za kisheria .. kwa hiyo unataka kutuambia wabongo wanaoishi diaspora na kufanya biashara huko nao wanyang'anywe umiliki halali walio nao wa biashara zao ...acha kuwa na roho mbaya kama ya raisi wako aise
 
Toa evidence sasa hearsay tu pekee haitoshi " kama evidence huna basi itabaki kuwa uzushi tu na unafiki " ... kuwa mkenya haiwezi kuwa kigezo cha kutaka apokonywe leseni ... what if akiwa amefuata taratibu zote za kisheria .. kwa hiyo unataka kutuambia wabongo wanaoishi diaspora na kufanya biashara huko nao wanyang'anywe umiliki halali walio nao wa biashara zao ...acha kuwa na roho mbaya kama ya raisi wako aise
Evidence nimashitaka yalipo mahakamani
20181224_182027.jpeg
 
Msio kuwa na akili ndio mnachekelea mali zetu zikiibiwa.Tuwe kama wakenya kwenye rasilimali zao ni kama nyuki hawakubali
"Tunapoitaji uwekezaji na kuwakaribisha wageni " unaitaji nani eje kuwekeza? , RAIA yeyote aje toka nchi yeyote Damiani isipokuwa Kenya ? . Huo ni upuuzi na ujinga na mtazamo hasii sana, RAIA yeyote anakaribishwa cha mdingi afuate utaratibu na sheria zilizopo.
 
"Tunapoitaji uwekezaji na kuwakaribisha wageni " unaitaji nani eje kuwekeza? , RAIA yeyote aje toka nchi yeyote Damiani isipokuwa Kenya ? . Huo ni upuuzi na ujinga na mtazamo hasii sana, RAIA yeyote anakaribishwa cha mdingi afuate utaratibu na sheria zilizopo.
Hawa wameingia kitapeli sio wawekezaji.
 
"Tunapoitaji uwekezaji na kuwakaribisha wageni " unaitaji nani eje kuwekeza? , RAIA yeyote aje toka nchi yeyote Damiani isipokuwa Kenya ? . Huo ni upuuzi na ujinga na mtazamo hasii sana, RAIA yeyote anakaribishwa cha mdingi afuate utaratibu na sheria zilizopo.
Soma hapo hako kakipande kauchunguzi wa Uhamiaji ndio utajua.hawa ni matapeli na wanatumiwa na matajiri wa kenya kupora Tanzanite yetu.Tumsaidie muheshimiwa raisi kupambana na haya majizi kutoka Kenya.
IMG-20181224-WA0004.jpeg
 
Back
Top Bottom