Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
- Thread starter
- #181
Hata..Wewe ni mkurya
Hata..Wewe ni mkurya
Hahahaha hamna unaelewa maana ya body forensics? Ingejulikana tu kwani ni mwili wote unapimwa, wangegundua kuwa korodani ziliminywa. Mbona rahisi mnooo...Duu halafu hata kama ungekufa hainaga ushahidi sana anaweza kusema ukikuwa na presha tu umekufa
Utafanya nini sasa kama hutoweza kuvumilia?Kupigwa kitu ambacho sitokuja nikivumilie,
alipita kwa mpalangeYaani mnapigania kotandani mlikua mmezima taa,mmweka neti,mmebanduana au? Hebu eleza vizuri tukusaidie
Tuheshimiane please.
Aaah wapi!! Nilikuwa nimelewa.Ndo uache kumchokoza.
Utakufa kizembe siku nyingine
Alitaka amng'oe bwana Kambupu? Pole SanaKwa masikitiko makubwa mkulungwa jana usiku ingekuwa usiku wangu wa mwisho duniani.
Tukiwa kitandani bahati mbaya ukazuka ugomvi na kutoelewana baina yetu, nilikuwa na boksa tu, katika purukushani akazikamata korodani zangu akaniambia "baba fulani ukiendelea utazikosa".
Ila nikajitutumua kumpiga, akaanza kuzifinya, niliangua kilio cha uchungu kilichoamsha wanangu wawili. Kwa kuwa mlango ulifungwa hawakuweza kuingia chumbani.
Baada ya kusikia baba yao nalia nao walianza kulia, mke wangu akaniacha kwani nilikuwa nakaribia kuzimia. Akawarudisha watoto bedrooms zao wakati huo nilikuwa nimelala sikuweza kuinuka.
Asubuhi ya leo wife kaniomba msamaha na kusema hasira tu, sikumjibu kitu na job nimeomba ruhusa, siwezi kutembea vizuri.
Kitakachojiri nitawajulisha, ila bado nampenda mke wangu.
Ahsanteni nawasilisha.
Kipi kaka, tushirikiane hata PM basi!Nimejifunza kitu !!
Huyo sio mwanamke ni muuaji anabana KmmkKwa masikitiko makubwa mkulungwa jana usiku ingekuwa usiku wangu wa mwisho duniani.
Tukiwa kitandani bahati mbaya ukazuka ugomvi na kutoelewana baina yetu, nilikuwa na boksa tu, katika purukushani akazikamata korodani zangu akaniambia "baba fulani ukiendelea utazikosa".
Ila nikajitutumua kumpiga, akaanza kuzifinya, niliangua kilio cha uchungu kilichoamsha wanangu wawili. Kwa kuwa mlango ulifungwa hawakuweza kuingia chumbani.
Baada ya kusikia baba yao nalia nao walianza kulia, mke wangu akaniacha kwani nilikuwa nakaribia kuzimia. Akawarudisha watoto bedrooms zao wakati huo nilikuwa nimelala sikuweza kuinuka.
Asubuhi ya leo wife kaniomba msamaha na kusema hasira tu, sikumjibu kitu na job nimeomba ruhusa, siwezi kutembea vizuri.
Kitakachojiri nitawajulisha, ila bado nampenda mke wangu.
Ahsanteni nawasilisha.
acha kumkorofisha mkeo wakati malighafi iko wazi!!!!!!
Pole sana, Vp mashine inafanya kazi lakini?Kwa masikitiko makubwa mkulungwa jana usiku ingekuwa usiku wangu wa mwisho duniani.
Tukiwa kitandani bahati mbaya ukazuka ugomvi na kutoelewana baina yetu, nilikuwa na boksa tu, katika purukushani akazikamata korodani zangu akaniambia "baba fulani ukiendelea utazikosa".
Ila nikajitutumua kumpiga, akaanza kuzifinya, niliangua kilio cha uchungu kilichoamsha wanangu wawili. Kwa kuwa mlango ulifungwa hawakuweza kuingia chumbani.
Baada ya kusikia baba yao nalia nao walianza kulia, mke wangu akaniacha kwani nilikuwa nakaribia kuzimia. Akawarudisha watoto bedrooms zao wakati huo nilikuwa nimelala sikuweza kuinuka.
Asubuhi ya leo wife kaniomba msamaha na kusema hasira tu, sikumjibu kitu na job nimeomba ruhusa, siwezi kutembea vizuri.
Kitakachojiri nitawajulisha, ila bado nampenda mke wangu.
Ahsanteni nawasilisha.
my dia upooooooo?!!!Hatuanichani
hahahaaa mashine ipi .. ya kukoboa au kusagaPole sana, Vp mashine inafanya kazi lakini?