Wakuu,
yani shem wenu nikianza J3 kazini mpka Ijumaa nikirud toka ofisini anataka gemu..hua ananiachaga wikiend tu kwa vile hua nashindaga nae nyumbani..mpaka sasa sielewi ni kua haniamini au ni nini..na mimi sijawahi kufikiria kumsaliti mke wangu ata siku 1
haahahhaha anataka uzeeeke haraka aponde raha na wenzio. Mwanaume kufanya sex sana ni kujiumiza na kupunguza urefu wa maisha wala si heshima, mwanamke haridhishwi wana demands nyingi ambazo huwezi ukazi fullfill zingine ziko nje ya uwzo wako kabisa.