Mke wangu maji mara moja

Jamani nisaidieni,

Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.

Nisaidieni.
naomba namba yake nimshauri aache huo utundu. nipm namba yake please.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…