Mke wangu maji mara moja

Jamani nisaidie uyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu Sana kwangu na mpiganaji Sana ktk maisha nisaidieni
Samahani unajishughulisha na nini kutafuta maisha?
 
...majini yenu yamewameza vilivyo...
 
Jitathmini uwezo wako ukiwa shambani, labda jembe halina makali au mpini wake mfupi halifai kukatua linafaa kwa palizi wakati shamba lako limejaa visiki
 
Basi kaka mkubwa usimwache hiyo ni kusaidiana majukumu tu take it easy as long as unampenda hakuna neno.
 
Upiganaji wake uko wap?au kukaa uchochoroni na wasaidizi wako?amka jamaa
 
Sasa mpaka anabambiwa we unafanya nini, au ndo hujui kumbambia vizuri
 
Umetengenezwa, wenyewe wanasema.

Sasa hapo unyenyekevu uko wapi aisee? Kama unamkuta vichochoroni kabambiwa hahahah

Tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…