Nampenda sanaUnataka kufa si bure... Hakuna ndoa hapo huyo atakuwa ama anakuona si level yake na huenda ana mtu au pia anaona aibu kukutambulisha kwa wenzake. NDoa gani mke anaamua kuhama tu yani wala huna neno katika maamuzi makubwa kama hayo.
Aiseeni jambo rahisi,kaa kimya fata atakavyo,majibu yatakuja soon
Ni mke wg
Ni mzur nampenda sanaTafadhali sema 'Mwanaume-Fala'........
Wewe lijitu hata kuzaa halijakuzalia kwa mwenendo huo unaling'ang'ania la nini?
Ni wazi jamaa ana shida ya ushamba-na-wanawake kama sihitilafu Kichwani.
Anataka apigwe tukio la aina gani aelewe HATAKIWI?
AsanteWewe jamaa una akili sana.
Ni za kweliKuna mahali anaokotaga izo storii
Fala unamuonea ni kengeSwahili: Kama sio chai, basi wewe fala.
English: If it's not tea, then you're fala.
Spanish: Si no es té, entonces eres fala.
Nyarwanda: Niba atari icyayi, noneho uri fala.
Hindi: अगर यह चाय नहीं है, तो आप फ़ला हैं।
Dutch: Als het geen thee is, dan ben je fala.
Ni yeyemshahara 600k unanunua gari tena ya mkopo utalala njaa
KivipiWanaume tumepungua sana
Upendo wg ndio ulichangiaAkipandisha sauti na wewe mjie juu.
Alafu mbona ulimkazania wakati alionesha majibu ya ovyo tangia muda kama "Utanioa nikishanunua gari"
Wanawake wengi humble wapo.
Kingine kwanini ulimchukua mwanamke mliyelingana umri???
Nimefundishwa uvumilivu mkuuDaaaaah Mzee kwa hayo matukio yote ulopigwa hujashtuka tu?! Inasikitisha sana. Mna watoto wangapi?! Watoto wanaishi na nani?! Unawezaje kua na mwanamke anaekuchukulia poa kiasi icho na bado unaendelea kumwita mke wako?! Hapo huna chako Mzee
Asante mkuuPole sana mkuu kubali kuanza upya uyo siyo mke wako tena,mungu ukutie nguvu
Na ipi dada wa kimasaiUna nyuzi mbili zenye maudhui tofauti