dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,332
- 1,862
🤣🤣🤣 mwanaume akikamatwa anatia huruma balaa🥴
Tafadhali sema 'Mwanaume-Fala'........
Wewe lijitu hata kuzaa halijakuzalia kwa mwenendo huo unaling'ang'ania la nini?
Ni wazi jamaa ana shida ya ushamba-na-wanawake kama sihitilafu Kichwani.
Anataka apigwe tukio la aina gani aelewe HATAKIWI?