george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,188
- 1,834
- Thread starter
- #61
Kwa nini mkuuJitahidi ukapime UKIMWI pia ndugu yangu
Kwa nini mkuuJitahidi ukapime UKIMWI pia ndugu yangu
Hahahahaman down man down.....hivi meeting ya mens conference lini>??
Tumuulize ametumia mbinu gnNimejikuta nacheka tu na ww unae ulie mkamata
Ndoa bado changaMkuu hivi hii ni kweli?
Aisee utakufa kabla ya siku zako. Vunja ndoa la sivyo utapoteza mwelekeo
Ndoa bado changa mkuuKimbia wewe,Utauliwa huko halafu ukatulaumu kwa Mungu kwamba hatujakushauri vizuri.
Kwa nini mkuuSijasoma maudhui baada ya kusima heading niseme tu kwamba, huyo sio mke wako bali ni mke wenu....teh
HayUmeamua tu ututoe povu au sio??
DuNina miaka 25 niko kwenye ndoa, nina uzoefu wa kutosha. Kiufupi huna ndoa wewe, na hukuamua vizuri kumpata huyo maana mashaka ulikuwa nayo toka awali. Kabla hujawa more stressed, seperate haraka
Akili TenaKapimwe akili kwaza
Unataka kufa si bure... Hakuna ndoa hapo huyo atakuwa ama anakuona si level yake na huenda ana mtu au pia anaona aibu kukutambulisha kwa wenzake. NDoa gani mke anaamua kuhama tu yani wala huna neno katika maamuzi makubwa kama hayo.Ndoa bado changa
Hahaha. Nyie wabaya sana...!🤣🤣🤣 mwanaume akikamatwa anatia huruma balaa🥴
Acha ujinga na stori zako za kutungaAkili Tena
Hivi uambiwe mara ngapi kuwa umepigwa na kitu kizito kaka? Ulitakiwa usimame tokea mapema, aishi na wewe or no ndoa.Alipomaliza chuo, nilipomuambia mambo ya kumuoa, akaniambia hapana, subiri mpaka nipate kazi, kuna mambo namalizia, nikajitahidi kuhangaika, kuna mshikaji wangu akamuunganishia, akapata kazi benki. Mshahara laki 6, sijakaa miezi miwili, ananiambia kuwa ananunua gari, nikawaza kwamba maisha gani ananunua gari, akanambia nimechukua mkopo kazini.
Mimi nikatulia, akanunua hiyo gari, nakumbuka kipindi kile IST alinunua milioni 14, nikasema poa, haina shida. Naongelea mambo ya ndoa, ananiambia mimi sina shida kuhusu kunioa, lakini siwezi kuishi huko, nataka kuishi Dar au Morogoro. Nikamuambia mimi niko Dodoma, unafanya kazi Dodoma, kwanini utake kuhama?
Akanambia, ndiyo nimeamua, kama unataka kunioa basi ni kati ya mikoa hiyo. Nikasema isiwe shida, tutahamia huko, basi tukafunga ndoa, mara kanambia anaacha kazi, anahamia Dar kama alivyonambia kwani kapata kazi nyingine huko, nikamuambia mimi uhamisho kuja Dar mgumu, ananiambia kwani nani alikuambia nataka uhamie na mimi.
Mimi sitaki kuishi na wewe, baki Dodoma, mimi nataka kuishi Dar, siwezi kuishi na mwanaume 24/7. Tukagombana, nampigia mama yake, ananiambia kama mwanangu hataki kuishi na wewe kwanini unanilazimisha. Sijakaa sawa, akaacha kazi, nasikia yuko Dar kahamisha kila kitu chake, hivyo ananiambia nitakuwa nakuja kila weekend!
Ni mwaka wa pili sasa, mke wangu namuona kila anapotaka yeye, sijui hata anaishi wapi huko Dar, nikitaka kwenda ananiambia unakuja kwani wewe ndiyo unalipa kodi, hataki hata kunizalia kiasi mimba anatoa, nipo tu hata sijui nafanya nini, nguvu ya kumuacha sina, hata nguvu ya kuchepuka sina!
Eti hata nguvu ya kuchepuka sina😁🤣🤣🤣 mwanaume akikamatwa anatia huruma balaa🥴
😂😂😂😂😂😂😂😂😂We jamaa mwanaume wa kaskazini nini?Alipomaliza chuo, nilipomuambia mambo ya kumuoa, akaniambia hapana, subiri mpaka nipate kazi, kuna mambo namalizia, nikajitahidi kuhangaika, kuna mshikaji wangu akamuunganishia, akapata kazi benki. Mshahara laki 6, sijakaa miezi miwili, ananiambia kuwa ananunua gari, nikawaza kwamba maisha gani ananunua gari, akanambia nimechukua mkopo kazini.
Mimi nikatulia, akanunua hiyo gari, nakumbuka kipindi kile IST alinunua milioni 14, nikasema poa, haina shida. Naongelea mambo ya ndoa, ananiambia mimi sina shida kuhusu kunioa, lakini siwezi kuishi huko, nataka kuishi Dar au Morogoro. Nikamuambia mimi niko Dodoma, unafanya kazi Dodoma, kwanini utake kuhama?
Akanambia, ndiyo nimeamua, kama unataka kunioa basi ni kati ya mikoa hiyo. Nikasema isiwe shida, tutahamia huko, basi tukafunga ndoa, mara kanambia anaacha kazi, anahamia Dar kama alivyonambia kwani kapata kazi nyingine huko, nikamuambia mimi uhamisho kuja Dar mgumu, ananiambia kwani nani alikuambia nataka uhamie na mimi.
Mimi sitaki kuishi na wewe, baki Dodoma, mimi nataka kuishi Dar, siwezi kuishi na mwanaume 24/7. Tukagombana, nampigia mama yake, ananiambia kama mwanangu hataki kuishi na wewe kwanini unanilazimisha. Sijakaa sawa, akaacha kazi, nasikia yuko Dar kahamisha kila kitu chake, hivyo ananiambia nitakuwa nakuja kila weekend!
Ni mwaka wa pili sasa, mke wangu namuona kila anapotaka yeye, sijui hata anaishi wapi huko Dar, nikitaka kwenda ananiambia unakuja kwani wewe ndiyo unalipa kodi, hataki hata kunizalia kiasi mimba anatoa, nipo tu hata sijui nafanya nini, nguvu ya kumuacha sina, hata nguvu ya kuchepuka sina!