UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 567
NILIMLETA MJINI BAADA YA MAISHA KUWA TAITI SANA NMEMSHAURI MKE WANGU TURUDI KIJIJINI HATAKI KURUDI KIJIJINI NIMFANYEJE.
umeambiwa maisha magumu unakataa kwenda kulimaHata mimi nisingerudi
Mkuu rudi nae kama hatakubali...NILIMLETA MJINI BAADA YA MAISHA KUWA TAITI SANA NMEMSHAURI MKE WANGU TURUDI KIJIJINI HATAKI KURUDI KIJIJINI NIMFANYEJE.
Heri nikomae nayo huku kuliko kurudi hukoumeambiwa maisha magumu unakataa kwenda kulima
NILIMLETA MJINI BAADA YA MAISHA KUWA TAITI SANA NMEMSHAURI MKE WANGU TURUDI KIJIJINI HATAKI KURUDI KIJIJINI NIMFANYEJE.
hapo si mambo yote yamegoma unategemea nini?Heri nikomae nayo huku kuliko kurudi huko
Ah wee kingeeleweka tu,ila kijijini sirudi ng'oohapo si mambo yote yamegoma unategemea nini?
ha ha ha utarudi hata kwa kuvutwaAh wee kingeeleweka tu,ila kijijini sirudi ng'oo