Nakupa hii dawa bure kabisa, katengeneze wewe mwenyewe. Chukua mizizi ya tulatula/ndulele chemsha atumie kikombe cha roho asubuhi kabla hajala kitu chochote na jioni nusu saa kabla ya chakula cha usiku atumie siku saba tu. Baada ya hapo shughulika vizuri na mkeo, mimba itashika fasta.