Mke wangu hapati mimba...

Nenda hospitali, ndio tatizo la wavulana.
 
Miezi sita ni michache sana
Na kama umetumia uzazi wa mpango vuta subira hiyo sumu iishe
kwa ushauri zaidi ni Dm nikupe maelekezo ya chakula
 
miezi 6 tu, kuwa na subira ndugu. Sarah na Ibrahim walimpata Isaac wakiwa kwenye umri wa uzee. Kikubwa ni kumuomba Mungu tu.
 

Nendeni Hosp! Mkacheki afya ya uzazi.
Kutumia uzaz wa mpango ni nidham ya woga kwa wanandoa wachanga, kama ni mkeo ndiye alikushaur upige hyo sindano ya mpango. Bado nawaza inawezekana bado hajaamua kuzaa kwa wakat huu. Uwe mdadisi wakat mwingine usichukulie mambo juu juu.
 
So unataka apatiwe mimba hapa jamiiforum?
 
Na Mimi nataka mtoto kwa sasa.
Nakupa hii dawa bure kabisa, katengeneze wewe mwenyewe. Chukua mizizi ya tulatula/ndulele chemsha atumie kikombe cha roho asubuhi kabla hajala kitu chochote na jioni nusu saa kabla ya chakula cha usiku atumie siku saba tu. Baada ya hapo shughulika vizuri na mkeo, mimba itashika fasta.
 
Poleee ni swala la muda tu ukitumia sindano huwa unachelewa kupata mimba but inategemea.
 
Ahsante mkuu
 
Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…