Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba mpaka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba mpaka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.
Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba paka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba paka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.
mtu anahtaj msaada serious njitu zinaleta utani, watu wengne bora tungewaacha kweny jf app ya zaman, hii update ya asaiv waingie walioupdate na bongo zao
Umekosea sana kumchoma iyo cndano huwa ni mbaya sana hapo nendeni hospital mkapate ushauri (huwa wanashauri kutumia uzazi wa mpango ukiwa tayari na watoto koz lolote laweza tokea)
Inawezekana tatizo liko upande wako chief. Jaribu kwenda hospital ufanye vipimo kama sperm count etc.
Unaweza kumshikia bango wife kumbe tatizo liko upande wako.
Kila la kheri.