Sipati Picha gemu ya siku hio ilikuaje baada ya Madame kufunguliwa....nadhani watoto walisafirishwa kwa bibi yao.....hicho kitanda lazima kesho kiliitiwa fundi akitibu. Hongera kwa maombi, umeokoa ndoa
Na mimi ni mmoja wapo wa wathirika katika hilo nawaombeni ushauri jamani kwa kupitia jamii forrum mnisaidie kwani nimempeleka kwa mchungaji ili atatue tatizo hili bado imekuwa kitendawili sasa naomba ushauri
Na mimi ni mmoja wapo wa wathirika katika hilo nawaombeni ushauri jamani kwa kupitia jamii forrum mnisaidie kwani nimempeleka kwa mchungaji ili atatue tatizo hili bado imekuwa kitendawili sasa naomba ushauri