Mke wangu haniheshimu

Ushuhuda mkali Sana huu,
pole Sana mkuu kea ulopitilia
Asante mkuu ni heri watoto wakaishi na mzazi mmoja kwa amani wakikua watakubaliana na matokeo mapema na hawatapata madhara makubwa kama wakiwa ndani na kuona wazazi wanagombana kila kukicha
 
Unampoteza mwenzako
 

Toka ingia cha kiume
 
Unamfahamu mtu mmoja Jina lake Yesu. Mtafute ukimpata nenda mpeleke kwa wazazi wako kamtbulishe wakimkaribisha nyumbani kwenu utaona Magego ya wazazi wako. Usipofanya hivyo kilichopandwa na wazaz wako nawe utakivuna. We Kalia bia
Mkuu sisi ni familia ya kilokole mkuu lakini ndo hivo ndoa yao yanaenda kombo wamezunguka sana kwa wachungaji kutafuta suluhisho lakini hakuna mabadiliko
 
Mkuu huwa sipendi sana kuongeleaa kuhusu migogoro ya wazee kwa sababu nikivikumbuka naumia sana ila bimkubwa ndo source kuna vitu Vingi anazingua

Hiyo imeniathiri hata mm naona ndoa ni upuuzi tu
 
Mkuu kabla huja mzalisha hukujua tabia zake ulizo zitaja?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kabila gani huyo, mgogo au
 
Pole sana toke iko choo cha kike alafu ingia cha kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…