Mke wangu haniheshimu

Mlete kwangu nimpe dozi ya uhakika.
Vijana mnapiga show lainilaini sana aisee.
Jeuri ya mwanamke ni kutokana na kutokamuliwa vizuri na mwanaume kuwa suruali.
 
Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2 mmoja kike mwengine wa kiume hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao .

Una mke lakini hujaoana naye?


Umeweza kuzaa watoto wawili na mwanamke unayejua kabisa kwa viwango vyako hana heshima, ana kiburi, dharau, matusi...!!!

Hapa tatizo ni wewe mkuu...
 
Bro skia nikwambiee

Achana na huyo mwanamke atakutesa sana

Usijdanganye kuwa atabadilika,that will never happen

Usiendelee kuwa nae kwa sababu eti unaonea watoto huruma,watoto watakua tu


Nimekulia kwenye familia yenye migogoro tangu nipo chekechea nashuhudia wazazi wangu wanagombana mara kwa mara mpaka Leo hii ni ugomvi kila kukicha na chanzo cha ugomvi ni bimkubwa wangu

So mzee akawa na point kama yako eti wakiachana mimi nitapata tabu kukua bila wazazi wawili

Hilo ni bonge La mistake alilofanya mzee wangu kuendelea na bimkubwa wangu ili tu mimi nipate malezi ya baba na mama

Matokeo yake sasa


Mpaka leo hii ni ugomvi kwenda mbele hamna amani


Kama ningekua na uwezo ningewatenganisha lakini ndoa yao Mimi hainihusu nadeal na mambo yangu


Nina uhakika hata hao watoto wako wangekua na ufahamu na kujua unachopitia wangekuruhusu uachane na huyo mwanamke


Kama unapenda watoto wako wasiathirike kisaikolojia kutokana na ugomvi wa wazazi ni bora ukaachana na huyo mwanamke wako mapema kuliko waendelee kushuhudia ugomvi wa wazazi kila kukicha lazima wata athirika kisaikolojia


Mimi ni mhanga wa migogoro ya wazazi naelewa ninachokisema

Kazi ni kwako bro
 
Huyoooo ni chaguo lakooo🎵🎶🎼
 
Kimbia mkuu ukajipange ulee watoto la sivyo utakufa siku si zako na hao watoto hutalea. chagua moja ufe haraka uache watoto... au usepe uwe na amani na nguvu ya kulea watoto.. NB : naongea kwa uzoefu yameisha nikuta kama yako.
Ulisepa?
 
Hili nalo muende mkalitazme....

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Asante ndugu yangu ushauri wako shukrani sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…