chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,291
- 1,839
Huu msos umenivutia hadi nimeanza kusikia njaa.View attachment 508599 karibu kiporo cha machalari mixer avocado
Huu msos umenivutia hadi nimeanza kusikia njaa.View attachment 508599 karibu kiporo cha machalari mixer avocado
Duu jana nimepika kama hiyo ila nikachanganya na maharage!!! Yaani mdogo wangu alilamba hadi sufuria...View attachment 508599 karibu kiporo cha machalari mixer avocado
watu wanajichana balaaHuu msos umenivutia hadi nimeanza kusikia njaa.
Umerudi lini???pole kwa kifungo shoga anguwatu wanajichana balaa
asante shosti wangu ndo maisha hujambo wewe?Umerudi lini???pole kwa kifungo shoga angu
Mwanamke asiejua kupika ni mzigo tu!!! Yaani kinamshinda nini mtu kuchanganya tu viungo jamani!?
Ila mkuu, wewe ndo unateseka, mtolee uvivu na umpeleke akajifunze mapishi... Kuna vyuo kibaooo.
Au kama una mama muelewa mwambie akae na mkeo kwa mda fulani ili amfundishe... Ila msimwambue mke nia ya kwenda kukaa huko.
Sijambo. Mekumiss huku tu. At least umerudiasante shosti wangu ndo maisha hujambo wewe?
HahahaaaDuu jana nimepika kama hiyo ila nikachanganya na maharage!!! Yaani mdogo wangu alilamba hadi sufuria...
unajua kupika wewe au utakuja kurudishwa dada yako niaibike?Sijambo. Mekumiss huku tu. At least umerudi
Hatari si kidogoHata mm kwangu hilo ni ajabu kubwa. Inakuwaje mtu hadi unaolewa hujui kupika? Hatari sana.
Ha ha ha ha. Dada napika. Pishi shata shata full kujirambaunajua kupika wewe au utakuja kurudishwa dada yako niaibike?
jana nilipika wali nazi na maharage plus mchicha tena wa kienyeji
Naona una changamkia fursa.nimepika supu ya boga hapa mubashara acha tu ina kitunguu cha majani ,pilipili,gilgilani yaani natamani nikuonjeshe.
Mnunulie vitabu vya mapishiPoleni kwa majukumu wana MMU
Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyoeleza, mke wangu hajui kupika na nikimkosoa ni mbishi.
Kwa kawaida nikiwa kazini kuna Mama Ntilie anapika mpaka nachanganyikiwa hadi natamani nimpeleke akajifunze ila hatakubali na ataona nimemdharau.
Nifanyeje?
Msaada tafadhali.