Lilian Masilago
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 246
- 120
Unajua hiyo 'I LOVE YOU' ni kama hiki kitufe cha kugongea 'like' hapa JF. Ukigonga like kadhaa kwa siku kanatoweka. Sasa huyu jamaa kila siku wenzie wanamuwahi kwa kuchelewa kwake kurudi nyumbani. Hajui kuwa kuna watu huwa wanatembelea boma yake in his absence
Ebu nishaurini,nina mke ambaye tumeona kama miezi sita hivi imepita..katika hari ya uchumba wetu tulikuwa na mapenzi ya kawaida,si ya moto wala baridi katika kipindi cha miaka minne..
Tulikubaliana tuoane ..lakini katika kipindi chote cha ndoa sijawahi kusikia mke wangu akinitamkia kuwa ananipenda japo tunafanyia mambo mbalimbali kama wanandoa,kila nikimuuliza kwa nini huwa usijawahi ukisema kuwa unanipenda hata siku moja toka tuoane basi huwa ananuna mpaka basi..
Jana nimemwambia siku nikipata mtu anayeniambia ananipenda na kunijari kuliko wewe..utakuja kujuta na huku ukiwa umekwisha chelewa..basi kanununa usiku kucha mpaka naondoka nyumbani..
Nishaulini nichukue hatua gani kwa huyu bibie..
Duh! Pole sana sioni hata kinamchomsababisha akununie...Yaani kumwambia mumeo kwamba unampenda imeshakuwa shida kiasi hicho!!!?
Hivi ujanja woooote huu wewe ni MNGONI, duh! Kweli maulana anajua kutoa adhabu. Kwa kiburi changu mimi ningezaliwa mngoni ningejinyonga
Duh! Pole sana sioni hata kinamchomsababisha akununie...Yaani kumwambia mumeo kwamba unampenda imeshakuwa shida kiasi hicho!!!?
Pole sana amani anakupenda tena sana
Labda anaona neno gumu kulitamka mwambie awe anakwambia hata kwa Kingereza au kabila yoyote kama
Nene nakutogagwa
Hataki kuambiwa anapendwa, anataka kuonyeshwa anapendwa.
Hivi ujanja woooote huu wewe ni MNGONI, duh! Kweli maulana anajua kutoa adhabu. Kwa kiburi changu mimi ningezaliwa mngoni ningejinyonga
bhebhe nkima ai lavu yu
Ha ha ha ha ndoa kaaazi kweli kweliEbu nishaurini,nina mke ambaye tumeona kama miezi sita hivi imepita..katika hari ya uchumba wetu tulikuwa na mapenzi ya kawaida,si ya moto wala baridi katika kipindi cha miaka minne..
Tulikubaliana tuoane ..lakini katika kipindi chote cha ndoa sijawahi kusikia mke wangu akinitamkia kuwa ananipenda japo tunafanyia mambo mbalimbali kama wanandoa,kila nikimuuliza kwa nini huwa usijawahi ukisema kuwa unanipenda hata siku moja toka tuoane basi huwa ananuna mpaka basi..
Jana nimemwambia siku nikipata mtu anayeniambia ananipenda na kunijari kuliko wewe..utakuja kujuta na huku ukiwa umekwisha chelewa..basi kanununa usiku kucha mpaka naondoka nyumbani..
Nishaulini nichukue hatua gani kwa huyu bibie..