Mke wangu hajawahi kuniambia ananipenda

kama hukupendi mbona alikubali koana nawe, mapenzi ya kizungu ndio ya kuambina nakupenda, uafrika hauna hiyo na kamipo tumeiga. muhimu ni upendo wake kwako nasio maneno ya kutamkiwa. zingatia ushauri uliopewa na wanaJF.
 
Nadhani wakati mlipofunga ndoa alisema 'nakupenda' sasa Newton's fist law of motion ;'a body will continue in its static state or in motion until an external force is applied'.
Kwa hiyo we amini anakupenda bado mpaka atakaposema sikupendi.
Wait! have u ever asked yourself kama kaweka nadhiri kwamba akifanyiwa kitu fulani na mmewe ndo atalisema hilo neno?
 
Mkuu hilo ni tatizo dogo sana na lisikufanye ufike mbali kiasi hicho kitu cha msingi jenga mazoea ya kumwambia unampenda na yeye atazoea kusema anakupenda lkn km wewe hauna desturi ya kumwambia unampenda usitegeme atakua na desturi ya kukwambia maneno hayo.
 
unamaneno machafu kwa mkeo, jirekebishe

Umeona enh! Jamaa anataka kusikia "neno" wakati matendo ndio halisi.
Tumsaidie tu ndugu yetu Jamii; ukiambiwa "nakupenda" na njemba-dume mwenzako mtaani utakuwa tayari kumuacha mkeo?
 
lakini nikiambiwa hivyo bado najisikia faraja kuliko chochote kile akifanyacho..

Tatizo lako unapenda kusikiliza kuliko kuona, shauri lako kijana utakuja juta.
Mtake radhi mkeo na umueleze "hilo tatizo" la kupenda kuambiwa I love you. Wadada usipowaambia I love you kwao inakuwa tatizo, lakini kwa mwanaume hilo haliwezi kuwa tatizo.
Unamwonaje mkeo? Hatimizi huduma muhimu kwako?
Ongea na mkeo na mtake radhi.
 
dd
mie hili wowowo tu ndio limeniacha hoi! hahahahaaa
avatar35173_4.gif
[/QUOTE

duuuh kumbe hadi miti ina shepuuu??
 
Kosa ulolifanya ni lugha ulotumia kumrekebisha mkeo; mtu mzima hatishiwi nyau.


Lakini na mimi ni mmoja wa watu nayependa kupendwa kwa matendo na maneno pia si kibubu bubu.

Ila najaribu kujiuliza wewe ukimwambia mke wangu nakupenda sana wife anajibu nini au anakutazama tu.

AU usije ukawa unataka uambiwe unapendwa wakati wewe usemi kuwa nakupenda mke wangu. Nijuavyo hata kwa wale introvert personality bado wakiambiwa nakupenda watajibe 'na mimi pia' badala ya 'nakupenda pia'

Watu wasiopenda kuonyesha feelings zao wazi (ma 'introvert,) wapo na kuna studies zinaonyesha ni more than 60% ndio maana wengi humu wamekushambulia; inaweza ikawa ndivyo walivyo au kuna sababu katika makuzi na life experience zao. Ni kweli they are most boring partners to be with. Jaribu taratibu na kwa upendo kumfanya awe wazi kwako.


lakini nikiambiwa hivyo bado najisikia faraja kuliko chochote kile akifanyacho..
 
Mkuu!! Nakupa miezi si zaidi ya miwili kama usipobadilika...atabanduliwa tu! acha mambo ya kihindi. I love U..I love U...Kama muda huu ukipita na akatamka kwa hiyari yake, Ujue tayari wamekubandulia..
 
Tulikubaliana tuoane ..lakini katika kipindi chote cha ndoa sijawahi kusikia mke wangu akinitamkia kuwa ananipenda japo tunafanyia mambo mbalimbali kama wanandoa,kila nikimuuliza kwa nini huwa usijawahi ukisema kuwa unanipenda hata siku moja toka tuoane basi huwa ananuna mpaka basi..

Mpaka umefikia umri wa kuoa bado huna akili mkuu?!!

Samaki alioko kwenye kapu tangu lini akapewa chambo? Chambo ni kichocheo tu cha kumfanya samaki ameze ndoano, akishameza huwa inatolewa.

Labda nikuulize, wewe bado unamhonga honga na kumtoa out?
 
hujamfikisha kileleni huyo shemeji yetu. Hapo ndo kila kitu mkuu, wife aliwahi zusha ugomvi ambao hata sikujua umeanzia wapi, ilinikera sana lkn nikasema i have nothing to loose sikutaka kukasirika na najua wanawake wanapenda sana kubembelezwa na kunyenyekewa, nilipotoka job nikasema leo wife naenda kumshangaza. Nilipofika home nikaingia na salaam kuubwa my luuuuuuv upo wapi nikamkuta room, nikampa busu kuubwa akaguna eti sitaki busu la malaya, nikamwambia lzm niwe malaya chumbani kwetu. Bd kanuna hapo nenda kwa hao hao malaya zako, nikamwambia fine niite majina yote leo lkn i just cant stop loving you nikapiga magoti nikamwambia nisamehe kwa kukupenda sana labda unaona kero, akashangaa wewe unanipenda mie, nikamjibu nipe nafasi uone wakati huo nishamkumbatia nimekamata kiuno nikaona pumzi zinapanda, kilichotokea hapo ni kupada mlima kilimanjaro kwa bidii sana wskati yeye anakaribia akasema mume wangu nakupenda sana na wewe unanipenda nikamtaja jina halafu nikamwambia nakupenda sana, lahaulaaa nikaona mtu ananikumbatia wa nguvu zote akimaliza mchezo. Baada ya hapo akaniambia alikwenda saluni flani walipogundua kwamba kaolewa na mngoni wakamwambia umeliwa mmeo lzm ana mipango ya kando kibao ndo yaye akanuna. Sasa ndugu yangu ndani ya ndoa kuwa mwangalifu sana na feelings za mkeo, usipende ku ignore hasa anaponuna, mnuno ni kitu kinasemwa hapo km si mjanja mtaishia kugombana kila siku.usimwonee aibu mkeo mmdadisi kila unapoweza taratibu kimahaba, ukimsifia. Amini usiamini utajenga ukaribu mkubwa sana na mkeo. Ndoa si lelemama ndugu yangu au jaribu kumletea zawadi ya kitu anachokipenda.nawasilisha

Hivi ujanja woooote huu wewe ni MNGONI, duh! Kweli maulana anajua kutoa adhabu. Kwa kiburi changu mimi ningezaliwa mngoni ningejinyonga
 
Una maanisha nini Da Womanizer ????? Lakn kweli wewe unaona mtu kukupenda mpaka aseme seme kila wakati??

Unajua hiyo 'I LOVE YOU' ni kama hiki kitufe cha kugongea 'like' hapa JF. Ukigonga like kadhaa kwa siku kanatoweka. Sasa huyu jamaa kila siku wenzie wanamuwahi kwa kuchelewa kwake kurudi nyumbani. Hajui kuwa kuna watu huwa wanatembelea boma yake in his absence
 
Back
Top Bottom