Una umri gani? Maana nafikiri wanaopenda maneno ya aina hiyo hata kama ni ya kejeli ni wale teenagers. Kama umeoa ukiwa na umri wa kutosha, sidhani kama utahitaji kusikia maneno hayo, badala yake utaangalia matendo yake kwako na treatments anazokupa kama mke? Yaani wewe unafikia mahali pa kuweka ndoa rehani kisa unataka kusikia neno nakupenda?
lukolo dear, huyu jamaa natamani ningeweza kumuwekea kale kawimbo ' we nidanganye danganye danganye tuuu ...... "