Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Habari zenu,
Mke wangu aliponiletea mtoto jana, alifanya fujo pia so nikamtuliza na Tsh 45,000. Jioni akanipigia simu kuwa ataendelea kuja kazini ili aniharibie kibarua.
Nishauri cha kufanya.
Mke wangu aliponiletea mtoto jana, alifanya fujo pia so nikamtuliza na Tsh 45,000. Jioni akanipigia simu kuwa ataendelea kuja kazini ili aniharibie kibarua.
Nishauri cha kufanya.